Never look forward for something yu yourself don't have. If I come to yu and borrow 10 shillings it is because I know that jus recently I had itbut have used it and get another soon.
Virginity is not for women alone, even we men need to keep it for my first woman to be my wife. Sometimes men...
Kwa hiyo wameua watu wawili tiyari. Aliyewauzia kafa na aliyenunua naye kafa?? Huyo aliyeuza alidhani angetembeaje bila mapafu hadi amalize pesa yake aliyoipata baada ya kuuza mapafu yake?
Neno la Mungu linasema; Mmepewa bure nanyi toeni (Wapeni wengine) bure.
Yeye alimlipa Mungu kiasi gani...
Umesema mengi sana ya maana lakini ukasahau kuwa; Nikiwa na pesa mfukoni hata koni itanyonywa tena kwa kuombwa anyonye. Samahani kwa lugha hiyo ila huo ndo mpango mzima
Una bahati kuwa umeificha ID yako. Weka sura yako hapomshana jr aione akungojee utakapo letwa kwenye 18 zake kma hataziondoa sehemu nyeti auze.
Kuna watu wametajirikia kwenye hiyo kazi sana. Sasa ni hii shida ya kupumua ilivyozidi nadhani hata bei ya mizigo itapungua.Usiwatanie watu na kazi zao...
Hawa ndio wanatunyima kununua mkoko wa kileo. Wanaikosesha serekali yetu kodi sana. Kama magari ni mengi na huwa yanakula mafuta sasa hapo wakiongeza kodi ya mafuta si wangepata zaidi??
Soma taratibu maelezo yangu. Kila silaha imetengenezwa kwa matumizi fulani japo mlengwa n imwanadaaaaaamu. Hivi wajua.Kifaru kazi yakeni kumuua askari mwenda kwamiguu? Infantry??? Hivi wajua piandege ya vita kazi yakeni kumuua huyo huyo infantry??
Nimekuambia kuna bastola zinazobebwa na...
Okaay Kasie,
I came running like a dick dick eyes open and ears all to come and find; This is "fo kidos!!"! Put something fit for our "Rika" buanaa. Love is in the air Kasie
Mwambie huyo Ramaphosa kuwa, watu wake hao hawana shukrani kabisa kabisa. Leo wanawaona wa Tanzania kwao kama sumu na kuliko akuone Mtanzania kule kwao nafuu Mnigeria.
Shukrani ya punda ni mateke.
Kwanza inaonesha hapo kuwa "Mlemavu" ni weye ndo maana unagopa kuwa mkeo akionjakwa huyo jamaa hatarudi nyumbani. Asikudanganye mtu, mwanamke hupenda anayemfikisha sio viba100 wengine hadi mfungiwe kwa khanga msije chomoka
Waambie TRA watuache tuyanunue waweke kodi zao kwenye mafuta tu uone jinsi ambavyo vitu vingeshuka hapa hadi barabar ziongezwe upana kupunguza foleni.
Hao hao washamba wanataka kuleta hadi treni zinazotumia barabara ila wanaogopa TRA na kuambiwa ati "Wanaosha pesa" na "Kuzipiga pasi".
Serekali...
Effects zipi ndugu tueleze. Kwanza kampuni zote hizo mlizozitaja kuwa zinatengeneza mbona za Kiislam??? Nembo ya "Hallal" imetumika vibaya hapo. Poleni mnao falakatia kila kiwekwacho mbele yenu.
Ushamba mwingine ni mzigo. Kwa kuwa kwako ni gharama sana na shida kuwa na kitu fulani haimaanishi kuwa nacho ni ukichaa. Kule kwao unaenda dukani kununua aina ya bunduki unayo itaka. Kama ni basola unakuwa nazo 4 kutokana na matumizi yake na uwezo wa kuibeba.
Zipo ndogo tu za wanawake kubebea...
Umewasikia hao wafu walivyokuwa wanamtukana? Tena hicho kimama kinamtukana na kumwambia awaue?? Sasa kama kapeleka maombi mwenyewe ulitaka jamaa amnyime?
Jamaa hana hata wasiwasi amerudi home kwake awangoje polisi
Nashukuru mleta hoja umesema kumbe tangu korona iingie Tz sasa ni mwaka unaisha. Pia umesema kuwa wenzetu walichukua tahadhari mapema (mwaka sasa) lakini sisi hatukuchukua tahadhari zao za kujifungia (Lockdown).
Swali ni Je, kama hatukujifungia sasa huu ni mwaka, kuna mtu amebaki tena Tz kweli...
Ndugu zangu wote na marafiki zangu wote wanajua kuwa siku ya kufa kwangu nizikwe kwa kutumia kitanda ninacholalia na mke wangu. Fedha ya jeneza mnunulieni kitanda kipya na godoro. Wekeni pilo ya pili kando yangu ili akifa mfungue kaburi mmlaze tu hapo kando mrudishie mfuniko.
Kaburi natarajia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.