Pamoja na mengine una tatizo la kutaka kupendwa / kumridhisha kila mtu, jambo ambalo halipo hata siku moja! Ndiyo maana huwezi dai sababu unahisi "atanionaje". Pia unauoga wa kupoteza watu. Inawezekana ikawa ni issue ya kisaikolojia hasa kutokana na malezi au wazazi kutokua around mara nyingi au...
Ultra male (Jean Paul Gaultier za kiume almost zote) huwa zina ka ring flani chini ya sprayer, halafu hii sprayer yake kama ina glow sana wakati usually huwa ni dark silver flani
Kwa lengo la watu kujifunza tafadhali share nasi juu ya shida ilikua nini na ulitumia njia gani kutatua?
Ninafahamu muda mrefu umepita (almost 4years) but kama unawezapata kumbukumbu yake tafadhali share nasi mkuu ili kwa wale wanaopitia the same situation wapate kujifunza jambo.
And yet you believe that all of that happened by chance?? All of those excellent arrangements and timing happened by chance? With no intelligent designer? Kwamba kulikua na eruption from nothingness (kama the big bang theory inavyosema) na sayari (including dunia) ni chembe chembe za hiyo...
That is the result of his disobedience mwanzonzi kwa kula the fruit of knowledge of good and evil. He, therefore, lost his place. Haujiulizi kwa nini a human is a wanting being (Maslow hierarchy of needs)? Hata awe na nini he does not get satisfied. Intrinsically, but unknowingly, we are...
Sina hakika kama nimeelewa vizuri point yako mkuu. But what I can say is uliloelezea proves the point that, kama maandiko yasemavyo, binadamu tumeumbwa in the likeness of God, with intellect and free will. Ndio maana binadamu (katika point hiyo ya kula) anaweza amua kuwa pure vegetarian au vegan...
Kwanza niseme hongera for the initiatives za kutafuta ukweli, Kudos! Binafsi ninaamini kuwa si vema kuamini kitu dogmatically na kimapokeo kwa sababu tu fulani anaamini. We are a society that is blessed with abundance of sources of information, ironically, that blessing is also a curse due to...
Atafanya hivyo, ultimately. Swala ni je utakua upande gani?
Majibu yapo na you can experience him personally. The thing is, we often choose to neither listen nor seek him. It is our iniquities, rather, that distances us from him (Isaya 59: 1-2).
Assumptions za wengi zinadisplay that you are thinking of the wrong god. Tatizo tunataka kum-fit Mungu katika mazingira ambayo tunayoishi sisi.
Kwa mfano wengine wanauliza kama Dunia iliumbwa na Mungu, basi Mungu alitokea lini? Jambo la kwanza la kutambua ni kwamba Mungu wa biblia hadhuriwi na...
Fortunately I'm not religious and I don't believe in religion for religion is a work of man and it is, quite often than not, flawed. But "The Gospel" isn't. Don't confuse the two
Actually ni kinyume kabisa. Ukiangalia creatures lazima utaona kuwa kuna creator. Sababu viumbe haviwezi kuwepo bila muumbaji. Leo hii ukitembea msituni ghafla ukaona picha imechorwa pahala, lazima utasema kuwa kuna mchoraji under no circumstance utasema kuwa hiyo picha imetokea tu under the...
We jamaa kwa fiksi... Kwenye story uliyoandika april 27 ya kumpa lift shetani ulimalizia kwa kusema kuwa "Nampenda mke wangu" leo unabwabwaja kuwa huwezi kuoa[emoji23] [emoji23]
Kuna jamaa mmoja anaitwa Buster Keaton. Ni soo... Huyo ndio wa kumpambanisha na Charlie Chaplin coz wakati Chaplin ana hit uingereza jamaa alikua ana hit marekani miaka ya 1920's
Ni body spray so performance-wise haita level up to actual colognes, ila ni decent performance for the price. Slightly better than axe and lynx body spays.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.