Habari wandugu....
Pia katika kujikumbusha huko,tupitie mistari ya Ron Suskind(http://www.latimes.com/news/nationworld/nation/la-na-cia6-2008aug06,0,5481059.story), huenda ikasaidia hapo baadae kupata uhuru wa kutafakari,maana wahenga walisema "lisemwalo lipo........"
BIOLOGICAL THEORIES OF AGEING(AGING)
Telomere Theory
Telomeres (structures at the ends of chromosomes) have experimentally been shown to shorten with each successive cell division. Shortened telomeres activate a mechanism that prevents further cell multiplication. This may be an important...
Habari wakubwa
Kwa muislam yoyote makini anayejua kuwa muweza wa kila kitu ni ALLAH mtukufu,na sisi binadamu twafanya juhudi tu ambazo hazifanikiwi mpaka ALLAH atake hawezi kuwa na hisia za woga kutokana na maneno ya Mukombosi na wenzake,sisi tushafahamishwa kwa maneno ya ALLAH kuwa chuki za...
Waaleikum salaam yaa GT
INNALILLAH WA INNA ILAYHI RAJIUG'UN
Jazaakallah kheir kwa taarifa
ALLAH ajaalie kuwa ni ukumbusho wa kujiandaa na hiyo safari kwa tuliobaki,tuombe msamaha kwa ALLAH na kufuatiza mema.
habari mheshimiwa....
1.kwanini amewekeza zanzibar na siyo bara?, nijuavyo mimi kiwanda cha textile cha Wapakistani kipo Dar es salaam kwa hiyo amewekeza Tanzania bara pia kama itakuwa ni sahihi kuwa kinamuhusu.
Hapa najaribu kuonesha kwamba kama kuna uzembe umefanyika kumkaraibisha huyo...
MtindioWaUbongo,
Kwenye mistari ya hoja huwa kunaibuka hoja pia,hapo nilikuwa najaribu kumuonesha Mukombosi kuwa hayo mashambulizi ya uhakika dhidi ya uislaam yameanza muda mrefu sana,na yanaendelea-ni kwamba yamepewa majina mazuri tu ili yaonekane si dhidi ya uislaam na waislaam....na huo...
mkuu mukombosi,
kama kwenye hiyo statement ulikuwa wakusudia mashambulizi kuangamiza watu haitonza hapo command yako kwa all christian in the world including TZ itakapoanza kutekelezwa;nikianza na matukio ya hivi karibuni:visit hii link(http://www.counterpunch.org/roberts02042008.html) ili u...
Hon.technique Thanx 4 Giving Us Ur Experience
Mkuu Umenikumbusha Vitu Kadhaa:
Kuna Rafiki Yangu Ni Graduate Wa Sua In Vertinary Medicine,alipata Ajira Katika Vertinary Center Moja Pale Dsm,siku Moja Akaniambia Amepata Dili Kutoka Wizara Ya Kilimo Ya Kwenda Kufanya Research Ktk Livestock...
Hon.technique Thanx 4 Giving Us Ur Experience
Mkuu Umenikumbusha Vitu Kadhaa:
Kuna Rafiki Yangu Ni Graduate Wa Sua In Vertinary Medicine,alipata Ajira Katika Vertinary Center Moja Pale Dsm,siku Moja Akaniambia Amepata Dili Kutoka Wizara Ya Kilimo Ya Kwenda Kufanya Research Ktk Livestock...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.