Hahaha sijaalog in muda mrefu ila comment yako umenifanya niingie.kiufupi unachosema ndio ilivyo. Sisi wanawake tunapenda kaukatili kiasi.hahaha.sio nikikutisha unaogopa.sio akapige kama mbwa mwizi achanganye na za mbayuwayu.ndo mana wanaume hardcore (sio wakorifi )ni hardly kukuta ndoa zao...
nimejifunza mambo mawili baada ya kusoma huu uzi.Yani Mungu wetu ni wa rehema na huruma sana anaweka dhambi zetu mbali nasi kama mashariki ilivyo mbali na magharibi na haukumu kama wanadamu.
Pili bado kuna wanaume wana upendo wa ajabu na uaminifu, Mungu ambariki sana huyo kaka popote walipo.
If...
ulivyoandika tu nataka nikamuue nimejua na wewe mana ndo maneno yako.we kaka mbinafsi sana nilivyojitoa kwako kwa moyo wote unajua ulichofanya.lazima uwe na hasira sababu we ndo mnufaika wa mahusiano what did i get from you zaidi ya kutufolenisha
Jamani nina miaka mingi sijalog in huwa nasomaga tu ila huu uzi umenifanya nimelia sana acheni tu hii dunia. Itoshe tu kusema nateseka lakini maombi yamenifunilia yalio sirini naonyeshwa kabisa anayenitesa. Ukiniona huwezi jua mateso nayopitishwa hapa nalia nitahadithia nikitulia.
Si kwel hata kidogo huwa nalala tv 5 mara nyingi tu sijawahi kupatwa na usemalo wala kusikia mteja akilalama hii hotel imekuwa under receivership for mire than five years nashangaa benk walichekewa wapi
Nashukuru nimezaliwa kwenye familia ambayo hata ulikuwa ukinywa maji mama anakwambia ombea ule utoto unakasirika lakini tumekuwa watu wazima hata wanaume wanaomba unashangaa kuamka ucku muanze kuomba ni kwa kawaida wakati mwingine unawaza kuna laziada kwa sbb in our clan we are blessed in most...
Nashukuru kwa ushauri natamani ningeandika zaidi lakini some people will easily spot me kwa nature ya kazi na biashara nifanyazo .laiti lingekuwa gari tu kwa sasa siishi kwenye nyumba yangu wala sijaipangisha japo nimepanga nina panda boda daladala etc na magari nilipark kwa hasira coz the last...
Zinamfanya sana ukiwa na pesa mwanamke ukweli ni ngumu kumpata the one me nimechoka manake kila anayekuja hata kama anauwezo anaanza kuwaza kumiliki ulivyo navyo na hawafichi ukweli ni kwamba hata wanaume wanatamani sana wenye mali i wish i could fly somewhere sometimes niishi low nipate mtu...
Da umenikumbumbusha mzee Elitira Mungu amrehemu alikuwa na roho nzur huyo baba hajikwezi cjui duka lake double road kama bado lipo halafu nafikiri alikufa mzee sana maana nilikuwa namuona miaka iyo nikiwa mtoto alishazeeka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.