Mimi mwenyewe mlala hoi naunga mkono hoja. Upelelezi hapo wa nini? Ikigundulika ni kweli upo mpango wa kuwauwa na watuhumiwa kutajwa watachukuliwa hatu gani! Mheshimiwa mmechemsha sana na serikali yenu dhaifu. Mfano
1.Waliotajwa na Mheshimiwa Mwakyembe ktk njama za kutaka kumuua wametiwa...
Bwana ehh! Kama mbwai mbwai tu,amuangalie mwenzie alikula maisha hapa Misri,Libya alijificha kwenye Kalavati, sasa yeye sijui atajifichia wapi wakati pale kakwe peupe sana. Ila tuwatie nguvu wana CDM wote kuwa liwalo na liwe,all developed country they were in trouble before why us? We are back.
Nasema mimi najipitia zangu tu,ila hawa jamaa dhaifu wanadhani wa tz wote ndiyo kama wao,sasa tumeamka. Waendelee kutajwa na wengine wengi tupo nao kitaa na majigambo ya ulevi hovyo.si mnajua pombe sio juice,naunga mkono hoja.
Hakuna kushauriwa vibaya,kwani yeye haoni. Ripoti zenyewe kitakwimu zinatofautiana.Raisi anayakwake, Waziri Mkubwa anayakwake na Waziri mwenye dhamana naye anayakwake sasa nyie hamuoni wanatuchanganyia vipindi tu. Na kwa taarifa yako brother Polisi mwezi wa tisa na wa kumi atakuwa Swazland kwa...
Hivi wandugu,naomba nimjibu Kibai hv hata kama mkeo ana makengeza siunakubali 2 hata kama umependa,Nkhamia tulimchagua akatuwakilishe mjengoni sisi walalahoi na hatukumchagua akajaze tumbo lake,hivyo lazima atambue hilo swala lako la ukabila hapa halina nafasi,aongopee watanzania halafu umtete...
We chama na wewe unaongea nini mbona hueleweki? Mamluki wewe tunakutilia shaka,we mtu kateswa na kudhalilishwa unataka kubisha, kama sio serikali yako imefanya hayo madudu RSA wanafuata nini tena? Damu ya mtu haimwagiki bure lazima mtaweweseka sana.
Jamani werema ni hewa maana mkimwita kilaza mnampa cheo,maana naona anaiza sura tu.Ila sababu kubwa ni huyo kaka yenu maana anajaribu kulipa fadhila,ushikaji umezidi. Mimi nimesomea chini ya mwembe ila jamaa akaushe asirudie tena. Wanateuliwa hovyo kuongeza idadi ya wapiga makofi akipita,hivi...
Kaka na mimi nimeanza kuwa na wasiwasi na elimu yake kwani haijawahi kutokea kuwa na mwanasheria hewa kama huyu wa sasa,nina mashaka na wasiwasi pamoja na kusomeshwa bure na Mwalimu Nyerere,alikuwa haudhurii darasani na alipata elimu kwa kupendelewa na mwalimu 1 ambaye alikuwa analelewa kwao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.