Kiti anachokalia mbunge wa kinondoni kina damu ya Aquiline , akae/mkae mkijua hilo, vyovyote vile amini msiamini, kile kiti kimebeba damu ya Aquiline yaani kwa maneno mengine kiti kina laana, subirini muone. Haya ni mawazo na imani yangu ''mimi''.
Kwikwikwiiii, mi nahisi jamaa anavuta muda wahusika wapate njia ya kutokea, si wanabishana nae atoe advance? Inakwenda hadi waje wagundue kuwa jamaa hana issue siku zimesogea na pengine mwenyewe akapata njia ya kurejesha mzigo wake. Hayo ni mawazo yangu lakini. Duh! Duniani kuna mambo
Mh, nina wasiwasi kama pendekezo lako linawezekana hasa kwa hizi nchi zetu. Karibu ulimwenguni kote serikali huhusika full ku invest kwenye sekta ya umeme, kwa sababu gharama za uzalishaji umeme ni kubwa mnooo, tena basi, jinsi tunavyochukulia poa maswala yanayohusu uzalishaji umeme sijui faida...
Binadamu sio wote waaminifu/wakweli, hasa wakipenda jambo lao liwe/liende kama watakavyo. Ndio maana nikakuuliza una uhakika? Mi ningekuwa nao ningekukanusha tu moja kwa moja, yaweza kuwa kweli au kusingiziwa, sina uhakika na ukweli wa tuhuma hiyo, wewe umewahukumu kwa hiyo usi base kwenye...
Wote hapo wanampongeza Zito na mimi pia naungana nao, hasa jinsi alivyotiririka imekaa vizuri. Sasa wewe Kubenea anatoka wapi? Katika watu wote huyo ndio umemshusha hivyo? Chuki sio nzuri hata ukiwa na sababu, yanayoongelewa hapa ni ya Zito na ninaona bora ingeishia Zito basi
Swali tu,
Hivi kiukweli watanzania wamewahi kuchagua rais wamtakaye? Kwanza nina wasiwasi kama kiujumla waliwahi kuwa na hilo chaguo sembuse kuchagua, mtanisamehe, mawazo yangu lakini
Mi ninavyoona ni bora tu kuacha mambo yaende kama yalivyo, naelewa hali mliyo nayo na mnavyojisikia kwa tukio hili, yaani wakati mwingine kweli unatamani hata ardhi ifunguke uingie, aibu ya dunia hii jameni
Bila shaka wamekusanya taarifa za kutosha kabla hawajamwonyesha njia. Sidhani kwamba jeshi linaweza kumwachia hivi hivi bila kumuhoji vya kutosha. Ila binafsi namshangaa huyo kijana maana wala sio mkubwa kihivyo kiasi cha kuishi hayo maisha, katokea wapi, kalelewaje! au agent wa kuzimu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.