Kila Timu Inapigania Kuweka Rekodi,sio Rahis Ukashangilia Timu Pinzan,huwez Ukakuta Msha Bik Wa Baca Anakwenda Kushangilia Madrid Au Hata Kwenda Uwanjan Tu,labda Iwe Inacheza Na Timu Yake.
Mleta Mada Upo Sahihi Sana,nilikuwa Nasikiliza Mech Nikihofu Yanga Ikishinda Kesho Nitajificha Wapi?Alafu Sio Kweli Kuwa Kutoisapoti Klabu Ya Nchin Mwako Sio Uzalendo.Wenzetu Ulaya Huwez Ukakuta Mtu Wa Mji Mf:Newcastle Akishangilia Timu Ya Mji Wa London,kila Timu Kwa Mech Za Ndan Au Kimataifa...
Kila wakati wabunge hulalamika kuwa maisha yamepanda,lakini kama ni watu wanaoishi kutegemea kipato cha serikali pia wapo watumishi.Pia kuna wafanyakaz wanaosafiri kwenda huko kikazi katika kipindi cha bunge kwa kulipwa 65,000/-kwa siku.kama kuwepo kwa Bunge kunapandisha maisha basi wakazi wa...
Walimu Wa Jiji La Mbeya Hawajalipwa Fedha Za Nauli Ya Likizo Ya Desemba 2013.Ikiwa Sasa Tunaingia Mwezi Wa Feb 2014 Haieleweki Sababu Ya Kukwamisha Malipo Haya Kwa Muda Wote Ninin?Hali Hii Inafanya Walimu Muda Mwingi Kutumia Kufatilia Madai Hayo.
Wa ZANZ..Kama Watoto Kazi Yao Kulia Lia Kama Watoto Waliodekezw,diria Aliwah Hata Kukaguliw Uwanja Wa Ndege India Wakihisi Muuza Madawa Ya Kulevya,nadhan Ulikuwa Hujazaliwa Ni Mzanzibar.R.I.P DIRIA
Wa ZANZ..Kama Watoto Kazi Yao Kulia Lia Kama Watoto Waliodekezw,diria Aliwah Hata Kukaguliw Uwanja Wa Ndege India Wakihisi Muuza Madawa Ya Kulevya,nadhan Ulikuwa Hujazaliwa Ni Mzanzibar.
Ikiwa Tumekaa Wiki 1bila Mawazir 4na Wa5 Amefariki,waliopo Ni Wale Mizigo.Je Kwa Kutokuwepo Au Kwa Kutokujazwa Nafasi Zao Kunapengo Lolote?Na Kwa Kuendelea Kuwa Na Mawazr Mizigo Hadi Leo.Je Kunasababu Ya Kuwa Na Mawazir Wengi?Je Hiv Jk Akiamua Kuendelea Hiv Hiv Bila Kujaza Nafas Waz Kuna Athar...
Njia Ya Kwanza Ninayoona Inafaa Ni Kwanza Kumzuia Mtuhumiwa Kutumia Baadhi Ya Mali Za Mpaka Mahakama Itakapo Muona Hana Hatia.Kwani Kumuachia Uhuru Wa Kutumia Mali/fedha Alizoiba Serikalin Inamfanya Kuzitumia Fedha Zile Kuhonga Majaji.Kama Kuna Njia Nyingine Tafadhali Toa Tuchangie.
Serikali Iliweka Kuwa Kila Mwezi Julai,katika Kipindi Hicho Hupandisha Mishahara Ya Watumishi Wake Na Kupanga Bajeti Yake.Sasa Inakuwaje Serikali Ipandishe Gharama Za Maji ,Umeme Katikati Ya Mwaka.Wadau Mnaonaje Hilo.
mbeya pia bado,pesa iliyokuwepo serikali ilitumia kulipa wasimamiz wa mitihan kidato cha iv na std iv,maana nao walikopwa.INAWEZEKANA WANAFANYA MPANGO WA KUMKOPA BAKRESA AU MENGI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.