Elewa ndege ni chombo cha usafiri kama gari lako. Lolote laweza kutokea kama lilivyotokea kwa Precision Air. Watanzania sijui tuko je, tunapoona kampuni ya mzawa inalegalega badala ya kutafuta njia ya kumsaidia mmiliki wake kimawazo tunamkandia. Kampuni kama hii ndo inawasaidia vijana wenzetu...
Kipindi hiki kuna utapeli mkubwa wa kazi. kaeni chonjo huyu sio mwajiri ila tapeli tu. Huwezi tangaza ajira isiyo na kichwa wala miguu. usichezee jamii forum mkuu.
KERO YANGU NI ' THE WORKERS COMPENSATION ACT 2002" INAYOTUMIKA SASA. Kipengele cha 7: Ukipata ulemavu wa kudumu kazini sheria inasema ulipwe mishahara yako kwa miezi 54 lakini kiasi hicho cha pesa kisizidi 108,000 na kisipungue 2,000. Kwa kweli ni sheria inayokandamiza sana mfanyakazi aliyepata...
Asante sana Nimeipata hiyo Act The Workers' Compensation ACT 2002. Baada ya kuisoma nimesikitika sana. Kipengele cha 7 kinasema ukipata ulemavu wa kudumu unapaswa kulipwa mishahara yako ya miezi 54 lakini kiasi hicho cha pesa kisizidi 108,000 na kisipungue shs. 2,000. Uliimanisha sheria hiyo...
Tulizana huna ugonjwa wowote, furahia maisha kwa kunywa maji. Kukujoa mkojo wa njano ni kutokunywa maji ya kutosha. Unatakiwa unywe maji si chini ya lita mbili kwa siku.
Hospitali zifuatazo zina physiotherapists:
Agha khan, Hindu Mandal, Regency, Lugalo, TMJ na Mount Mkombozi iliyoko kinondoni Morroco. Pia kuna za Private nzuri sana- moja iko Moroco karibu na Furaha Clinic. Kama una pesa taslimu nenda ya Morocco.
Sijaokota vijibwa koko barabarani kaka ila nafuga mbwa kwa ajili ya ulinzi. Nimechanja chanjo ya kuzuia Pavo disease na tayari wamepata dawa za minyoo. Wako FRESH
Unanistaajabisha sana, Msamaria mwema ahojiwe kwa nini? Mungu ambariki sana yeye na uzao wake. Wangemfuata wale wabaya wake si wangemmalizia. Kama huna hoja stop writing.
Kova angalikuwa Nigeria angeshtakiwa kwa kuwa rumor mongerer kwa kuwa aliyoyasema si ya kweli. Pole sana ndugu yangu Kova. Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Kuna jambo Mungu anataka kutufundisha kupitia kwa Dr. Ulimboka. Kila mtu aliyehusika kumwaga damu yake amekaribisha laana kwenye uzao wake...
Kero zangu ni the Workers Compensation Act 2002. Soma Chapter 263 utusaidie. Wako wananchi wengi wanalia kuhusu Act hiyo inayotumiwa na Labour. Iweje mtu aumie na kulemaa akiwa kazini alipwe 108,000/= zitamsaidia nini? Dr Lissu Tundu uko wapi utusaidie sisi wanyonge?
Wanasheria naomba mnisaidie kutafsiri hii sheria. Nimeumia kazini na mkono wangu wa kulia umelemaa siwezi kufanya nao kazi. Nimekwenda labour kwa ajili ya kupata compensation nikapewa act kuisoma kwanza. Kuna kipengele kinasema hivi:
7-(1) Where permanent total incapacity results from injury...
OK ninaweza kukuletea town usijali. ofisini kwangu ni karibu na Ocean Road Hospital. Piga simu na. 0712-695090 uniambie unayataka mangapi na lini. Nina ya kanga tu kwa sasa. Pia nina ya kuku wa kienyeji.
Bata mzinga wakianza kutaga nitakujuza. Ninauza bata mzinga dume kama unataka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.