Waislamu Wana chukiwa sana na wayahudi hali kadhalika wa kristo Wana chukiwa sana na kuitwa idol worshipers lakini still wayahudi wa Africa (waswahili wenzetu) Wana watukuza na kujikomba na kuwaita taifa teule.
Huyo Polepole ni mnafiki kupindukia, kiroboto wahed. Awamu ya tano alikua msema hovyo na kukandia Awamu ya nne, huyu ni kiroboto mhuni.
Polepole ana shangaa nini kumsema Nape alichukia Awamu ya tano kwani Polepole ndani ya nafsi yake anaipenda Awamu ya mama Samia?
Nasema ningemkuta peke yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.