Wanaishia kusema mahakama italeta vita bila kueleza kwa undani how religious war itatokea kutokana kwa uwepo hii mahakama. Bado sijaona madhara ya hizi mahakama kwa nchi kama ya uganda ambayo inayo hii mahakama.
ewe mkristo tambua ya kwamba mahakama ya kadhi itawahusu waislam na kuhusu gharama za uendeshaji ni zao wenyewe kama serikali ilivyosema. Kwanini mnapenda kuwanyima haki zao waislam. Hivi ni kweli mahakama ya kadhi italigawa taifa kwa lipi hasa hebu tuseme ukweli. Mimi naona endapo mahakama ya...
Linapokuja swala la mahakama ya kadhi ndio tunakumbuka kuwa nchi haina dini. Mbona kuna taasisi za makanisa zinapewa ruzuku kuendesha shughuli zao. Mimi nadhani hii nchi inatakiwa tupigane vita vya wenyewe kwa wenyewe ndio tutaheshimiana. Mifano ipo mingi ya nchi ambazo ilitokea civil war na...
Pesa za wananchi zinagawiwa kwa taasisi za makanisa kwa kigezo cha kutoa huduma lakini cha ajabu huduma za makanisa ikiwepo vyuo na mahospitali wanawatoza wananchi pesa nyingi. Uko wapi msaada wa haya makanisa ktk kusaidia wagonjwa na wanafunzi wa kipato cha chini yaani maskini. #mfumoKristo
Huwezi kukanusha uwepo wa Mfumo kristo kwa kuangalia idadi ya watu. Matukio ya kanisa kuingilia maamuzi ya serikali yanayowahusu watz waislamu ktk nchi yao huo ndio mfumo wenyewe. Yaani kanisa kuwa na sauti kuzidi serikali. Mfumo uliasisiwa na nyerere pamoja na askofu rugambwa laanatu-llah
Ndugu wana jamiiforums.
Mimi ni mteja wa kampuni ya simu za mkononi ya TIGO lakini cha kushangaza tokea nimefika hapa mjini Morogoro takribani mwezi mmoja na nusu nimeshuhudia huduma mbovu za kimtandao ndani ya Mkoa huu.
Ikifika saa 12 jioni mpaka saa 4 usiku network inakuwa zero haswa kwa...
tatizo tunalinganisha udom na udsm. itachukua muda kwa udom kuwa juu kama udsm kwa sababu hata udsm nayo ilianza kama udom. lakini cha ajabu unakuta mtu anasoma sauti au tumaini halafu anajilinganisha na wa udom ambae ana sifa zote za kusoma chuo bora tanzania(udsm). wanafunzi wengi wa udom...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.