Kipimo cha fikra za mtu humtambulisha yeye mwenyewe na hasa hasa huutambulisha uono wake kinaga naga. Never abandon political sign since might implicate expectations.
Safi sana, mi ni mnyambo mwenye asili ya uganda maeneo ya nkole inavosemekana ingawa mi sijari stori hizo ila la maana ni kujivunia karagwe yangu, hahahaaaa
Mi kwangu Benson Bana ni sawa sawa na darasa la pili la zamani tokana na anavyoweza kujidhihirisha kwenye mdahalo na upigaji kura wake juu ya katiba pendekezwa ndan ya BMK, hasitahili hata hiyo Phd ndo maana siwezi kumuita dr labda kama iwe ya hono kama ya jamaa yenu yuleeeee. He is the fake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.