Unacheza na maneno wewe Zitto! lazima una hila nyuma yako! kumbuka wakati wa uchaguzi mdogo wa arumeru mashariki uliibuka na maneno yako haya tata kama mchawi!! kwamba unautaka urais!! yani watu tuko biz tunahangaika kuhakikisha Joshua anapita katika AM, wewe ukaibuka ki vile, tafsi ya wengi...
Halafu ile kukusanya wasanii wa kigoma (Ukabila) eruption yake ndo hii! yani zitto huu ndo ulikuwa mpango?? kuutengeneza ukabila kisha kuuwaalika wabunge wenzio waudhibitishe katika magazeti uliyokuwa ameyapanga ukisaidiwa na ikulu! Kumbuka we zitto, JK alitumia sana magazeti ili aingie ikulu...
Kweli ccm ni chama cha machakachuzi na mijizi kwa kila kitu! yani wanaiba mpaka jina!! dah! dah! dah! Hii lazima tupate mrejesho wake manake jamaa nafikiri kasimama kumbe kaanguka! chezea cdm wewe! ni pipozz powa! kama alifikiri anapambana na Mnyika sasa ajue kuwa alaikuwa anapambana na pipozzz pawa
Duuh! nadomo lote lile kumbe ni liripiti (lilirudia ili lifaulu) ha ha eti musomi wa uchumi daraja A ha ha ha! sasa tunamtafuta huyo mwigulu mwenyewe mpaka tumpate halafu tunakupeleka mahakamani ! mwizi mkubwa we!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.