Search results

  1. Wa Efatha

    Ni msemo gani unaokupa nguvu zaidi ukiwa kwenye shida

    Reading from the posts, kwa kweli katika Kristo kuna Amani ya kweli...
  2. Wa Efatha

    Tanzania Presidents: Nyerere, Mwinyi, Mkapa and Kikwete

    Umenichekesha kweli. Duh...Kazi ipo.
  3. Wa Efatha

    Tanzania Presidents: Nyerere, Mwinyi, Mkapa and Kikwete

    From spiritual dimension, "Tanganyika" Tanzania haijawahi kuwa na kiongozi bora tokea mwanzo wake. Hii ni matokeo ya laana ya kumuacha Mungu, Period. Tanzania ilikabidhiwa kwa shetani baada ya uhuru kwenye lile tendo la kupandisha bendera juu ya mlima Kilimanjaro. Apandacho mtu ndicho...
  4. Wa Efatha

    Kuna baba mwenye nyumba...hakuna baba mwenye gari....!!

    Ni kweli mkuu ndivyo ilivyo kuwa. Those days kupata gari ilikuwa very expensive,Leo ukiwa na milion 4, unapata gari. na pesa zilikuwa ngumu kuliko ilivyo leo. Ujenzi ni long term investment inayohitaji pesa nyingi na usimamizi wa hali ya juu. sasa usipo kuwa na uwezo wa kufika site on time...
  5. Wa Efatha

    HIV inanitesa

    Having HIv is not an end of life. there is hope you can turn to and live assured life. Do you believe that Jesus can heal your HIV? If yes, them it is time to get to him. Go after salvation, Accept Jesus as the Lord and saviour. He will surely purify your blood and you will become a new breed...
  6. Wa Efatha

    Dk. Mwakyembe awapa polisi siku 14 kuwataja polisi wezi wa mafuta

    Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Mbaba Mwakyembe hongera. Komaa nao mpaka kieleweke.
  7. Wa Efatha

    Dk. Mwakyembe awapa polisi siku 14 kuwataja polisi wezi wa mafuta

    Jamaa anafaa, apewe muda kidogo. Maana sasa bandari panazidi kunyooka. mapato yaliyo kuwa yanapatikana kwa wiki sasa ni siku tatu tu. Tumpe support stahili. Ni viongozi wachache waliopo ktk serikali hii. Safi Mwakyembe.
  8. Wa Efatha

    Mchumba wa Dk. Slaa aibua tuhuma nzito

    nadhani ni hii hapa wakuu... Mambo ndani ya usalama sasa yanakwenda vibaya,mpango wa kummaliza kabisa Dr Slaa umeiva. Wakurugenzi wa usalama walikaa kikao chao wiki iliyopita na kufikia maamuzi ya kumuondoa kwenye sura ya dunia Dr Slaa wakiamini kwamba Slaa ndiye mzizi katika Chadema na...
Back
Top Bottom