Waende tu huko...maana wapo mashuleni hawana kazi. Muda wote ni umbea tu na majungu! Watanyooka...na wajifunze kabisa nyimbo za kuwaimbia watoto... Maana primary bila nyimbo somo haliendi. .mara kiranja wa awali anakuja..'mwalimu Mwajuma kajinyea....' Hapo sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.