Search results

  1. Bangusilo

    Tatizo la kuwashwa mwilini baada ya kuoga: Fahamu chanzo, ushauri na tiba

    Pole sana ndugu, JARIBU KWENDA KUPIMA LIVER TEST FUNCTION, inaweezekana hepatits A, B, C. n.k, pamoja na figo
  2. Bangusilo

    MBEYA mjini wana matatizo gani

    ulitaka wamchague kaka yako mulugo, w.f.
  3. Bangusilo

    Let Zanzibar Go! - Kwanini Zanzibar hawahitaji kuwashawishi Watanganyika ili watoke kwenye Muungano

    Muungano ulikuwa na matatizo toka siku ya kwanza ya kuundwa kwake. Utavunjika tu siku ccm itatoka madarakani, kama ccm itaendelea kuwepo tusitegeemee mabadiliko yoyote yale.
  4. Bangusilo

    Tundu Lissu: Tunataka mafaili ya Muungano siyo picha za Nyerere na Karume

    Tatizo wabunge wengi wa ccm ni njaa, hawawezi kuwa bold enough kuzungumzia issue sensitive yenye malsahi kitaifa, wako wapi wakina selelii?, hivyo tusitegemee jipya katika katiba mpya. Ikiwa walikubali wanasiasa wawe wasimamizi wa baraza la maadili la mahakama, hiyo tu inatupa picha wabunge wa...
  5. Bangusilo

    Tundu Lissu: Tunataka mafaili ya Muungano siyo picha za Nyerere na Karume

    Alichosema Tindu Lisu nimekisikia, pia amegusia sababu ya kuundwa muungano 1964, na mambo mengine yeliyooongezwa kinyamela, ila kapasua jipu lingine kuwa muda mrefu muungano kuwa "hatuhitaji tena propaganda tunahitaji ukweli uwekwe hadharani". Maoni yangu, ikiwa ccm itaanguka upande wowote ule...
  6. Bangusilo

    Nimevunjika Moyo

    pole sana mpendwa, usiumie sana, nipm pamoja na picha yako full, we will find some missing connection, tutamuonesha kuwa "jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pepembeni" do it ASAP, POLE SANA
  7. Bangusilo

    Vunjeni Muungano lkn mimi nitabaki Mtanzania

    Yaani umemaliza, ningekuwa na uwezo ningekupa nishani.
  8. Bangusilo

    Vunjeni Muungano lkn mimi nitabaki Mtanzania

    Mimi ni mtanganyika orijinali na pata huo mfadhaiko mpaka ulowe ukimaliza . Nipe faida kuu 5 za muungano na sizewe za kufikirika!. Kama wewe ni mwanafamilia wa wanasihasa njaa wanaofadika na muungano lazima utautetea tu.
  9. Bangusilo

    Hasira za Wazanzibar kuchoshwa na Muungano

    Kajichome moto basi kama Boazizi ili uonesha mapenzi yako nahuo muungano, na pia utakuwa umeutetea vuzuri. ILa kwa kifupi ni kuwa muungano hauna ridhaa ya wananchi wa pande zote mbili. Pia hakuna faida yotote kwa Bara kuusu muungano Kwa visiwani ni faida ipo kwa wafanyabiashara wachache na...
  10. Bangusilo

    Hasira za Wazanzibar kuchoshwa na Muungano

    Muungano wa nini banaaaaaaaaaa!, aaaaaaaaaaagh, wewe uteetee ugharimu maisha yako, mimi wala sitaki hata kuusikia. Etu undugu, undugu gani wa lawama na chuki, ufilie mbali tu huu mungano
  11. Bangusilo

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    Hakuna kosa kubwa nyerere alilofanya kama kuleta huu mungano, kuliko hata siasa za ujamaa, kwa sababu moja kubwa ni kuwa Tanganyika imetoka kwenye ukoloni halafu ikawa mkoloni. Sasa kitu kingine ni kuwa tunafanya makosa makubwa kuona kuwa wazanzibari wanafaidika na huu muungano, ukweli ni...
  12. Bangusilo

    Muswada Katiba Mpya, Hoja ya Muungano moto Zanzibar!

    Muungano ni mzigo usiobebeka, hakuna mtu anayefaidika nao zaidi ya viongozi wanafiki, umefika sasa wakati wa kuuvunja, kila mtu aende kwa amani
  13. Bangusilo

    Muswada Katiba Mpya, Hoja ya Muungano moto Zanzibar!

    Jamani Ndugu zangu watanganyika ni wakati sasa wa kuvunja huu muungano, nawakilisha hoja.
  14. Bangusilo

    Muswada Katiba Mpya, Hoja ya Muungano moto Zanzibar!

    EEbwana hakuna video iliyorekodiwa huko
  15. Bangusilo

    Muswada Katiba Mpya, Hoja ya Muungano moto Zanzibar!

    Mkuu hakuna faida, labda faida ilikuwa ni kulinda mapinduzi ya 1964, lakini muungano hauna sura ya umoja na mshikamano, umekaa kiusanii tu. Sasa ni wakati wa muungano kuvunjwa, kila mtu abebe msalaba wake, sio kutoa vyeo na nafasi kwa wachache wanaojua faida zake.
  16. Bangusilo

    Muswada Katiba Mpya, Hoja ya Muungano moto Zanzibar!

    Unajua huu muungano kuna waoaufaidi tena sana tu, hasa viongozi wa ccm na jamaa zao, lakini ukweli ni kuwa muungano wenye utata sana, sasa ni wakati muafaka wa kuhoji huu muungano, hizi hasira wanazozinesha wananchi ni manifestation ya ubabe wa kijinga wa viongozi. Ningependa uvunjwe kama...
  17. Bangusilo

    Muswada Katiba Mpya, Hoja ya Muungano moto Zanzibar!

    Kuwe na kura ya maoni kuusu uwepo wa muungano kabla hatujaendelea na swala la katiba.
  18. Bangusilo

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    Ninauhakika kabisha kuwa Shein hakushinda ule uchaguzi, ni basi tuu Maalim aliamua kuepusha shari, hapo inaonesha ni kwa nini huu muungano upo kwa ajili ya kunufaisha watu wachache tuu.
  19. Bangusilo

    Tanzania ina watu milioni 43, Zanzibar hawazidi milioni 5 kwa nini tugawane kwa kulingana?

    Hapa Nonda umechemka, yaani tudumishe muungano tusioujua kisa mapezi ya wanasiasa?, kama wamaoana wao si wao. Hizi ndio faida wanazozidai za muungano?. Muungano lazima uwe wa kimaslahi, sio maslahi ya wanasiasa.
Back
Top Bottom