Mkuu sizani kama wataweza kuchukua hatua hao watu cz kwa namna yoyote ile Lema ana nguvu nyuma yake inayomuongoza kufanya yote haya tunayoyaona na watu hawa si wengine zaidi ya Mbowe (mwenyekiti) na Dr Slaa(katibu) Lengo kubwa hapa ni joto la uchaguzi wa chama na ule uchaguzi mkuu 2015
MY TAKE...
Mhhh sijaona sehemu ambayo Zitto kasign kuonyesha kwamba kapokea hiyo pesa cz listi inaweza kuandikwa bt pesa mtu usichukue ww leta ushahidi hapa unaonyesha sign ya zito kupokea hiyo pesa
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Saga la Mwigamba vs CDM linaendelea na leo amefanya press conference, kuna vitu vya msingi anaongea yupo na hoja 6 za msingi ambazo sio za kupuuzwa na from the context jamaa hana ongea with all passion na CDM sasa ndg zangu wanajamvi wenzangu nazani ni wakati muafaka sasa kwa akina Mnyinka,ben...
Mkuu! Kwa upande wa ushuru wa forodha we ingia www.tra.go.tz kuna sehemu ina calculator and tools ukiingia hapo make sure huna chasis no ya dinga unayotaka kununua plus model ya hiyo gari thn utajua ni kodi kiasi gani mkuu!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ukabila hauwezi kuisha ndani ya chandimu na huu sio msingi wa ukabila cdm! Msingi ni jinsi vyeo,madaraka,majukumu wanavogawana base yao kubwa ni dini na ukabila na huo ndo ukweli siku zote ndani ya chandimu
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kwani mbunge anatokana na nn? Lazima achaguliwe na hao hao wanachama au mashabiki unaowaita ww so 4 tht case cz CCM wanawabunge wengi directly ina onyesha wanachama au mashabiki ni wengi kamanda!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hahaha mtabaki ngojea ngojea hadi kiama kifike... Tuweshawajua nia zenu hovu na nchi hii hamshiki ng'ooooo......
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.