Mama Chips ni mbondei wa Tanga ukoo wa Zayumba. Mfanyakazi serikalini muda mrefu katika idara ya maendeleo ya jamii. Amefundisha pia vyuo vya maendeleo ya jamii na mwishowe kuwa mkuu wa chuo ikiwamo Rungemba. Ni mke wa Dr. Chipungahelo almaaruf Dr Chips. Watoto, wajukuu na vilembwe wapo wengi na...
Its all about lobbyists! Officially there is no lobbyist in TZ, but if you look closely you will find them everywhere. This game is about Truckers and Mining lobby wining their slice. Ask Railways??
Liganga hakuna makaa ya mawe. Yanaongelewa makaa ya mawe ya Ngaka huko Mbinga. Liganga kuna chuma na mchuchuma kuna makaa ya mawe vyote havijaanza kuchimbwa.
Ni vyema kuwa makini kwenye suala hili. Waheshimiwa wamefanya kazi yao na ni sahihi kabisa ila spidi yao inaweza kusababisha waonekane kama walimu wanafunzi wale wenye hasira. Wamehemuka kama walimu wanafunzi wale!
Sasa ni vyema apatikane asiye na mhemuko atakayesikiliza pande zote kwa umakini...
Kama umeshindwa kulielewa suala rahisi kama hili linalohusu sheria kutafsiriwa kwa lugha ambayo wananchi wanaielewa sishangai kishindwa kumuelewa Profesa katika yaliyo magumu zaidi.
Hakuna marufuku ya kuandika sheria kwa kiingereza lajini sasa kutakuwa na fasiri ya swahili kwa sheria zote hili...
Utaratibu wa kuripoti vyuoni unawataka wale waliochaguliwa nanNACTE au TCU kusubiri majina yathibitishwe na chum husika. Tariff zilizopo ni kwamba senate ya UDOM haijakaa kupitia na kuyathibitisha majina hayo. Sasa hat waliokwenda kuripoti wamepata wapi maelekezo hayo? Maelekezo ya NACTE...
kwa utaratibu wa NACTE, ukimaliza hiyo diploma unatakiwa ukafanye kazi, sio umepata competences za technician? Kama ulikuwa na mpango wa kuunganisha ungekwenda form VI.
Mrema kutibiwa hi haki yake kama mwananchi na hasa ukizingatia mchango wake katika nchi hii. Siyo favour ya JK ni kwamba JK ameona umuhimu huo. Alimlipia saidi kubeneya sembuse MREMA?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.