Wakuu,
Muda si mrefu Mkurugenzi Mkuu wa Bandari Bw. Mgawe na wakurugenzi wengine watatu pamoja na Meneja wa Bandari ya Dar Es Salaam Bwana Cassian Ngamillo wamesimamishwa kazi na waziri wa Uchukuzi Mheshimiwa Mwakyembe.
Inasemekana, kama kawaida yake amewasimamisha vigogo hao mbele ya kikao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.