Binafsi nielee kusikitishwa na kitendo alichofanya Rafiki yangu na kaka yangu. Kama kweli dhamira yako ya ndani ni kununuliwa basi umetutia donda kubwa sana.
Kuna watu tulijitoa sana kwa ajili ya ubunge wako lakini wewe umekua hauambiliki, umefanya PhD ni kweli lakini hiyo ni kwa ajili yako na...
Slogan yetu ya ''Hapa Kazi" ni nzuri sana ina nia njema sana lakini kuna suala moja linajitokeza hapa, Lengo hasa la hyo kauli ni nn kama ni kwa ajili yetu tu sisi watanzania ni sawa kabisa mana sisi tunajua maana yake na kuitafsiri vyema lakini kama lengo lake ni kuonekana kimataifa bado kuna...
Jaman wanajamvi habarini za humu; naombeni maelezo na habari yeyote na mambo ya kuzingatia kwa mtu anayeifahamu baraidi vizuri tayari.
Nina mpngo wa kuhamishia biahsra zangu ndogo ndogo bariadi duka la vitu vya kawaida vya matumizi ya kila siku na Hardware moja.
Taarifa yeyote unayodhani ni...
Ukweli ni kwamba hakuna aliyeitwa ila msg za kujulishwa kupoklewa kwa maombi hata mm jilpata jumanne usiku saa mbili hivi. nadhani busara ni kua na utulivu na hopefull wiki kesho wataanza mchakato wa kujulisha waliokidhi vigezo tarh za interview. asanteni
Mtoa majibu naomba ufafanuzi siku ya kwanza nawza kwnda na mshikaji wngu kujitambulisha tu? au lazima nitafte mzee niende naye? mana hapa naongea nipo njiani ndo naenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.