Ni pesa nyingi lakini kwangu haina maslai. mwisho 1.4 , hata hivyo kuna jamaa wanaifuata asubuhi hii. kama upo serious wahi pikipiki ipo vizuri hai hitaji matangenezo yeyote.
Kiwanja kinaukubwa wa 18*20 gari inafika hadi ktk kiwanja . Bei nafuu sana.
Umeme na kisima cha maji vipo karibu sana.
Bei tzs 3,950,000.00
Call 0658 554 992
Chumvi kwa kweli inamiujiza mingi sana , hasa chumvi ya mawe. Mfano kwangu mimi nilikuwa na eneo langu nauza kwa muda mrefu madalali walichemsha , nikaamua kununua chumvi ya mawe na kuimwaga katika pembe 4 za eneo na katikati ( eneo lenyewe lipo uswahilini) next day akatokea mnunuzi na kulinunua .
Naomba msaada wadau wa afya ktk hili jambo.
Kuna ndugu yangu wa kike alikwenda hospital moja manzese na kupima HIV.
Majibu yakatoka positive, lakini aliyempima akamwambia akapime sehemu nyingine kwani alitumia dawa moja tu ya kuchanganyia yapili walikuwa wameishiwa.
Je ni wazima wakati wa kupima...
Wakuu nimewaelewa lakini mnategemea biashara nianzie bei ya kuuzia?
Kama mtu yupo serious anipigie tuongee na aione gari ndio aanze kutoa comments zake.
Make : Toyota
model : Cresta
color: Pearl
year of manufacture ; 1999
engine : 1g6619635
cc : 1980
fuel : Petrol
km 56,000
going very cheap! Only 8.55 millions
just pm or call 0658 554 992 serious buyer only. Please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.