dear wana jf
mimi ni msichana mwenye umli wa miaka 24 natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 27-33
wasifu wangu
mnene wastani,mrefu wastan,elimu ya chuo,sijawahi kuolewa wala sina mtoto,mkiristo.
wasifu wa mwanaume
mrefu,elimu ya chuo(degree)mkristo,awe na kazi,awe hajawahi kuoa.
kwa mwenye...
mtu yeyote mwenye uwezo wa kunipa michakato namna ya kupata kazi za udom naomba ni pm. kama huna cha msingi usipositi tafadhariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.