Unaweza tupa vigezo na masharti hayo? Mfano ukristo umegawanyika sana kuna watu wanatumia sanamu kama symbolism. So hivo vigezo na Masharti ambavo magaidi wa kiislam wote hawavizingatii kabla ya kuanza kuua watu kinyume na mauaji elekezwa ni vipi?
Kuna kitu kwenye hii mijadala ya MAUAJI ayanayofanywa na waislam sikielewagi. Waislam karibu wote iwe youtube au kwingine wanawahi kuwaita watu majina na kuongea kwa dharau sijui makafiri sijui wanajua hawakubali kama wewe. Hii naona inazidi kuonesha nature ya ideology ya dini. Ni mara chache...
what nmmegundua ni kuwa sisi men hatujui ni kiasi gani wanawake wanaathirika kisaikolojia kwa kubakwa... Nakumbuka quote ya mtu... kuna nchi ni Dhambi kitendo cha kuzaliwa mwanamke. Pakistani na nchi nyingi za kiarabu na India ni moja wapo...
Mtoa mada inaonekana ni moja ya watu wanaosumbuliwa na ishu ya UDAR... But ukijaona maisha ya mahali pengine nje ya bongo. Utagundua ni ushamba usio na mfano... Dar sio mahali pa kukufanya ujione bora kuliko mwenzio actually ni moja ya maeneo watu wengi wanaishi maisha ya ajabu sana japo ni siri...
They call the Third World the lazy mans purview; the sluggishly slothful and languorous prefecture. In this realm people are sleepy, dreamy, torpid, lethargic, and therefore indigenttotally penniless, needy, destitute, poverty-stricken, disfavored, and impoverished. In this demesne, as they...
Unajua no wonder why hakuna mtume wala nabii mweusi, I wonder sometimes what GOD is thinking abt sisi. But one thing ni kweli kuwa waafrika tumepofushwa kupita kiasi na haya mambo ya dini na dini ile, nchi masikini duniani haziwezi hata kidogo kuendelea coz dini ndo priority kwao. Hapa tz...
Very wise kaka.... Unajua jamaa anataka kufabya maisha kama coin kwambe ukifanya hv utabaki middle class maisha yako yote hivi hautabaki middle class.....
Business ni career pia, all anasema usikomae na kutaka kutoka kibiashara hata kwa mikopo ukiogopa kujenga eti hakuna faida as ukijenga utaishi mwenyewe in your house so hutagain hela, japo in reality hutalose pia.
Sio lazima walojenga kwanza wawe na wakati mgumu, japo najua hata kama watabaki middle class watakuwa na afadhali kuliko waliinvest na kufilisika... Ukiwa na uwezo jenga, kuwa na ardhi na nyumba sio a negative development ni one step ahead. Kama ulivosema wahindi hawajengi hapa wanaogopa si...
Kijana mwenye uwezo wa kurudi nyumbani kwake kachoka na mihangaiko ya maisha na kurudi kwake kupumzika ni bora mara 1000 ya kijana mwenye kurudi nyumba alopanga.... Japo biashara au kuinvest sio wazo baya... hakuna formula....
Na unajua uhalisia wa hapa tz kwetu? Sio kila mtu anapanga national housing!. Na kama unaenda kupanga kwa middle class mwenye nyumba then unasema umemzidi akili haileti maana kidogo.... Na narudia mimi namsupport kijana anayeweza kujange angali kijana hakosei kama jinsi atayeamua kila senti...
Kakak unajaribu kuelezea maisha in one simple way or two. Lakini kwani hatujaishi long enough kujua kwamba hamna kanuni au njia ya kuelezea maisha kwa maelezo machache au hata mengi... hivi kwani kila anaefungua biashara inafanikiwa? na ikifanikiwa asijenge ainvest zaidi?. Hakuna mali hapa...
Nataka kujua msingi hadi kuezeka kuweka fremu za chuma, milango ya muhimu tu na kuweka choo cha kawaida. Nyumba iwe na sebule, jiko ma two bedrooms. Ukiacha na finishing zote. Naongelea ujenzi wa mtanzania wa kawaida asoweza kujenga kwa mkupuo hadi all finishing. Please be kind.
Kaka hizi bei zako mbona utata. Ukiacha kutojua ukubwa. Bati m5 ni Bundle ngapi? Na ni aina gani? Mbao m3 ni kivipi na ngapi na kila moja sh ngapi hadi ziwe na hiyo gharama? huyo fundi wa kupaua kwa m3 nyumba ya mtanzania!.
Mh, hiyo situationa naielewa sana, inauma hasa kama wewe hujawahi.... Poleeee. But if you love her that much basi you can bear the pain.... Abt second time sijui kwa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.