Tena hakuna kuuma maneno na ikibidi tutaanza kumchambua mmoja baada ya mwingine kujua urai wake maana njia ya kuwabaini ni raisi sana....This is TZ bwana Wakileta propaganga zitajibiwa kwa nguvu zote.
Haswaaaa...........tena kinachoshangaza hivi vijamaa vikiwa vinatuchokoza sisi Watanzania wengine wanashangilia na kushabikia kwellikweli.Sasa Watanganyika tukianza kujibu mapigo kwa strong evidence utasikia ooh "uchonganishi" mara "upuuzi" mara "hayatuhusu". Nilichokuja jifunza hapa ni kuwa...
The 2 Easy Ways to Make Your PC Run Like New
One of the most frustrating things in life is a slow computer.
Every few years, we buy an expensive new PC and love how fast it starts up, runs programs, and loads websites. Inevitably though, it starts to slow down until eventually we are...
Janeatte Nyiramongi (Mrs Kagame) ni mzaliwa wa Burundi aliyeishi uhamishoni Nchini Kenya katika jiji la Nairobi.
Kwa nguvu ya Mumewe Mama huyu amejitajirisha yeye mwenyewe, nduguzake wa damu na marafiki zake wa karibu. Mali nyingi anazipata kwa kupandikiza ndugu zake au Marafiki zake wa...
Kamwe hatuwezi kugombana na Wanyarwanda....ila tutapambana na viongozi wao wanao jifanya wanajua sana kuandika kuhusu Tanzania baada ya Presidaa JK kuwafurusha wahamiaji haramu.....Si wanajifanya wanajua propaganda za kuchafuana? basi sisi tutaanika hadharani madudu ya hao Viongozi wao.
Nataka yeye akanushe ili tumwage data hadi mtaa anao ishi, namba ya nyumba, Kampuni anayofanyia kazi na zaidi tutaorodhesha na ndugu zake wote.
Sisi hatuleti maneno ya kusadikika hapa kama wao, sisi tunaweka vitu halisia na Source yake.
Mnyarwanda utamjua tu hata sentesi zako hazieleweki... check tu hapo kwenye Red.
NOTED: Wewe unaishi Mwanza, Umetokea Bukoba mjini, na Unandugu Karagwe.....Ukibisha ninaweka na picha yako humu JF sasa hivi....pia tutawapelekea uhamiaji Jina la Kampuni unayofanyia kazi waje wakague uraia wako.
Wewe umenena....je Tatizo liko wapi JK kumuoa binamu wa Habyarimana kama ni kweli? Wanyarwanda wamemtusi rais wetu JK wakati sisi tuna habari zao nyeti kibao...waendelee tu tutazimwaga zote hadharani.
Ngumi ya pua inauma asikwambie mtu hasa kale kamchuzi kekundu kanapotoka........ Huu uzi utasaidia kuwatambua Wanyarwanda walio humu JF hebu check humo kwenye Red...umeshajulikana.
Rais wa Rwanda Gen.Paul Kagame amesha wahi kushika wadhifa wa juu ndani ya jeshi la Uganda (senior Ugandan Army Officer). Amepigana vita kwenye kundi la uasi lililo muweka madarakani Rais Yoweri Museveni wa Uganda. KAGAME alikaa muda mrefu nchini Uganda kama Mkimbizi. Elimu ya Msingi aliipatia...
Mkuu hao nyagau waacheni waende wao siyo only countries wanao pitisha mizigo yao hapa TZ. Labda kama watu hatujui tu.....DRC,ZAMBIA, MALAWI, Parts of Angola, Parts of Mozambique wote wanategeme TZ.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.