Na mimi yamenikuta ya hawa DSTv (Multichoice), nimelipa tokea jana mchana lakini mpaka leo mchana huu hawajaniwashia niweze kuangalia. Simu yenyewe napiga tokea hiyo jana lakini zote hazipokelewi.
Hii ni customer service ya aina gani? Huduma zimeoza kabisa, hapa wakija wengine natoa kabisa na...
Domo Zege, no wonder umechagua hili jina, usiwe na hasira lakini maana taarifa zaidi utazipata tuu humu humu, mimi nina uhakika na taarifa hii sema nimekosa taarifa zaidi kwa haraka kutokana na namna nilivyozipata.
Wana Jamii,
Nimepata taarifa kwamba kuna mwanafunzi ameuawa pale Chuo Muhimbili. Mwenye taarifa kamili au aliyepo karibu na maeneo hayo atujuze tafadhali.
Naona sasa unaifanya JF kama sehemu ya majaribio. Weka data zinazoeleweka, sio kusema tuu CCM ndiyo mwisho. Sasa hapo ndio unamaanisha nini? Audio recordings zenu ziko wapi? Hapa naona hamna ukweli wowote...Pasco jitoe kuwatetea hawa jamaa. Kuna harufu ya kutumwa kupima wana JF na kuwapoteza...
To: All our esteemed customer in Tanzania
Dear Sir, and Madam,
Hello, good day to you. How have you been ??? Hope you and yoru all family are fine.
This is Toru Ogawa, Autorec Enterprise, LTD. Japan.
We really appreciate your support to us and Autorec Enterprise Ltd. Japan.
At...
Barclays wanafungua Branch kule Tabora. Hizo nafasi zote walizotangaza ni za kwenye Branch hiyo ya Tabora. Kwa hiyo sio ajabu kwa wao kutangaza kazi licha ya kwamba wamewapunguza wengi hivi karibuni.
Wanajamii,
Leo kwenye gazeti la Daily News, ukurasa wa mbele Mr. M. R. J. SABODO ameweka ujumbe kwa wa Tanzania kuwatahadharisha kuhusu Nephew wake, ujumbe wenyewe ni kama hivi:
AUNALI AKBARALI KASSAM
(A nephew to M. R. J. SABODO)
If he (AUNALI AKBARALI KASSAM) takes any money from...
Arsenal watamaliza katika Fourth position msimu huu. Aston Villa wameshaanza kuharibu, safari yao ya kuanza kuachia nafasi ya nne ilianza tokea wapigwe na Chelsea.
Mapigo ya moyo yanaanza kuongezeka tena kama jana, hili swala la kesi kufanyika kwa siri linakuwaje? Mbona wengine wote wamewekwa hadharani? Ni nini kinafichwa hapa? Kama hili swala ni kweli kabisa basi nimeshaona dalili zote za kipigwa changa la macho. Wananchi tuna haki zote za kujua makosa...
Leo tumejionea mengi kwa kweli...Kandoro, Kova na Kimbisa wakiongoza magari. Tusubiri tamko la serikali kuhusiana na hali hii...hasa hasa Rais Kikwete atakapoongea na taifa mwisho wa mwezi kama ilivyo ada.
Wazee wa EAC wametolewa bararani kibabe na sasa magari yameanza kupita. Kandoro na Kova hawakusikilizwa kabisa. Kule Kigamboni nako kivuko kimenasa kwenye mchanga na watu wengi sana wamenasa.
Hili swala la NMB lina impact kwenye Uchumi wa nchi vile vile. Maana NMB kwa siku mbili sasa hivi haipo kwenye Market ambapo Bank nyingi huwa zinafanya biashara na NMB haziwezi kufanya hivyo, ikimaanisha kwamba kutakuwa na uhaba wa pesa kwenye soko. Pia NMB wanakula hasara kubwa kwasababu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.