Mkuu zanzibar spices: unaposema kujieleza kwangu ni kwamba pesa nikizipata zitanikoma manake nn? Hivi pesa kazi yake ni nini? Dreaming is believing na believing is achieving!! Nikikwambia nilipotoka hadi hapa nilipofika leo!! Basi itabidi ubadili hizo negatives zako zote na kuweka ma positive...
Salam wakuu,
Mimi ni mjasiliamali, hivi karibuuni nikiwa katika harakati zangu za kujigomboa na umaskini, nimekutana na fursa nzuri, ambayo itawahusisha bank na hao wateja!! Sasa nnachoomba wakuu mnisaidie jinsi ya kulifikisha wazo langu kwa wahusika wakuu. Mimi ningependa sana kuliuza wazo...
Duuu mimi nacheza kwenye 117( according to me, niko kwenye 30z lakini nna mambo ya 40z). Itabidi siku moja tuchaguwe wana JF kumi! Ambao wako tayari kutupa miaka yao ya ukweli, then tupime uwezo wao(kutokana na michango yao humu ndani) na kuwapa age yake. Tukokotoe tuwape watu hongera zao! Mkuu...
Bora na mm nimwage dukux2 langu leo, mm natumia kile kifurushi cha 1999 cha week. Wanakupa msg 700, call mnts 60 na bundle ya internet ambayo kwenye cm yaku siwezi kutumia, sasa tatizo langu ni pale nnapoamua kuongeza hela ili niweze kupiga cm nje ya nchi! Ukimaliza kuongea tu, lile bundle lako...
Duu mkuu Makala jr umeniovertake aiseee, thanx sana! Yaani watu tumekaa kama mateja tu, halafu mwisho wa siku bill/luku iko palepale. Hapa nawaza sijui nikaangalie wapi eviction show ya bba jioni!! Angalau nikapoteze mawazo. Yaani mm ningekuwa na uwezo, ningeshahama hii nchi!!! Sasa watu...
Mweh! Ila watu tuna tofautiana jamani, mm niko early 30's, naweza kukaa hadi six months bila kuona hiyo kitu na nadunda tu! Yeuwiiiiii huwezi pitisha siku 1? Ukiwa mwezini je? Labda vile mm mtt wa mkulima, shida hadi kwenye kope sikumbuki cha kutongozana wala kampani za kwenye mastarehe sina...
Ila jamani msimlaumu meneja! Hapo meneja kaambiwa wema ana mamlaka nchi hii, akiangalia nyumbani ukoo unamtegemea! Unadhaani atathubutu hata kunyanyua kope ya jicho? Kuna watu hatuna ma GodFather wala Surnames za kuogopesha! Basi tuko wapoleeee hata tukionewa tunamshukuru mungu tu.
Hakya nani tangazo limekaa ki darasa la pili lilee!! Kwanza waigizaji wameshindwa kabisa kuvaa uhalisia! Alieshinda anaonekana ali concentrate na camera badala ya maudhui!! Kwenye hali ya kawaida hakuna lecture anaeweza kukubaliana na hali kama ile, ati ameshinda then anarudi kukaa na ticha...
Mmhh! Mimi nafuatilia bba, sidhani kama kahamishia mapenzi bali naona wote wawili wana vutiwa na kila upande, kama unakumbuka fedha alimwambia big kuwa amependa kujiamini
kwa oneal tangu siku ya kwanza, pia wamekuwa wakipigiana vote za crush date! Kiasi oneal kuwaomba wenzie nxt wk wampigie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.