Madame mshukuru mungu kwa jinsi ulivyo na nilivyooona caption nitajua unashida kuuuubwa ,endelea kuomba endelea kua muaminifu kwa mungu wako,achana na huo mzigo wa mume wa mtu anakuzuia ktk baraka Zako,God time is the best time I belive hujachelewa na u shukuru unakazi jitunze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] my ribs
Mwenye haki wangu ataishi jamani hakuna mwenye haki mungu amemuacha akaangamia,getwel lisu we pray for ur recovery ,wewe ni jiwe hutakufa bali utawashangazaa ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Dear flora,mwanamke mjinga huvunja ndoa yake mwenyewe hilo unajua,mwanaume ni mwanaume huwezi kushindana nae, ulishindwa kumshinda Shetani na ningumu mno kwa mtumishi we mungu kupoteza sifa na upako uliokuanao,mpk unatoa kitabu it's total failure u have no one to advice u? Huwezi kumwaibisha...
Language picture viva Roma ,bravo that u recognize the people's power[emoji119]!it's very painful song by the way [emoji22][emoji22][emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikurupuke kuacha kazi ivyo kwahasira jipange,jiandae kufungua consultant km unaamini ni hodari ,jitahidi kuweka kumbukumbu kwakua nae kaajiriwa mchome tu kwa evidence,kunamda dawa ya moto ni moto,hukohuko other company's unaweza chomokea huko maana miaka 4umeshajulikana .
Sent using Jamii...
Nicole tubu usamehewe na mungu na unafki wa kuumia uache mshahara we dhambi ni mauti unajua na ilikua unajua mumewamtu anamadhara,hawezi muacha mkewe shogazako wamekudamganya,mchepukosiku zote nisawasawa na shimo umeshadumbukia shimoni rudi kanisani kiukweli tubu kwakumaanisha ,usilielie insta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.