wakati Sumaye anapewa nafasi ya kuongea harafu akaanza kuwaubili watu kuwa akishinda atapambana na wala rushwa,moja kwa moja nilijua kuwa atashindwa.maana baada ya kutamka maneno hayo nliona watu wanaanza kutazamana kama kuonesha ishara filanlkn kwa haraka sana watu wle nilielewa kuwa walikuwa...
yeye anadai kuwa uteuzi wake ulimpa sifa yy na taifa kwa ujumla,kwangu mm naona ni fedhea tu kwa taifa letu.mtu unapewa nafas kama hiyo unashindwa kutimiza malengo ya mkuu wako wa kazi.leo hii namwona anaandamana na viongoz magamba kwenye majukwaa.
ndugu zangu wanacdm tukiendelea na tabia ya kupinga bila hoja za msingi tutakuwa tunawapa nafasi ccm kujua udhaifu wetu ulipo,hadi sasa nashangaa wale wanampinga zitto kugombea urais kwa sababu hadi kwa sasa hajavunja sheria yyte ya katiba ya cdm.hv ni vigezo gani vilichukuliwa mboe na slaa...
ndugu yangu usiwe na hofu,ni vizuri ukaikuta chuo maana pale haisumbui hata kidogo.na suala la hostel utasoma jina lako pale ofisi za accomodation karibu na hall 5
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.