anae jitambua lazima awe mpambanuzi majitu majanja huwa yanatumia vichwa vya wasio soma, sijaona sababu za kumsifu saana huyo jamaa, au ndohivyo tena biashara matangazo? u hv to hv speculation enough to tell us that the man is good in which aspect b`se he never be a leader b4, how did u examined...
Sidhani kama uko kwa ajili ya kuwasaidia watanzania wote, nakama ndivyo hebu tatua kero hii ya wananchi walio wengi, Sensa ndo hiyo iko kwenye kona inasogea wananchi wa tanznia hasa waislamu wanasema hawata hesabiwa mpaka kipengele cha dini kiwekwe kwenye dodoso, unaweza ukashanga kwanini udini...
Ndugu dactari kumbuka wewe ni Mtanzania ulie toka kule shinyanga, kagera, mara, sumbawanga na kwingineko kwingi ambako leo hii bado mtanzania wa hali ya chini mtoto wake anakwenda shule ya msingi hata secondary bila viatu kwa ajili ya ugumu wa maisha, pia kumbuka mtanzania huyu ndie kodi yake...
Ni mchango wangu huu naomba mnielewe, chuki iliokuwepo juu ya serikali ni kubwa sana sababu kubwa ni serikali yenyewe,
Tatizo: Tanzania ina watu waliogawanyika katika makundi mbalimbali kwa kutumia vigezo tofauti; makabila, mikoa, dini na vigezo vinine, Hebu tafakari matukio haya:-
1...
Mbunge mmoja akichangia katika hutuba ya bajeti ya ofisi ya waziri mkuu leo alifikia kusema "kama alivyo sema waziri Benard Membe kuwa watanzania wako tayari kulala na njaa lakini hawapo tayari kujiunga katika ndoa za ushoga; vivyo hivyo na wazanzibari wako tayari kufa lakini huu muungano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.