Munambefu umenena.Mh. Mizengo Pinda amepoa mnooooo! Anaonekana ni mtu wa kuogopa sana na kabla hajatoa tamko, huenda anaanza kuhisi hoja zake zitakataliwa, kuokosolewa ama hazina mashiko na hiyo humsononesha sana. Lakini najiuliza anabanwa na nani asiwe huru kifikra maana anaonekana kutojiamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.