Mnamjua IKUNGULYABASHASHI MOTORS NYIE? Yeye anaagiza gari Japan pamoja na kodi kwa ml 20 lakin analiuza kwa ml 12 ili mradi watu wapate na waendeshe magari.
Muislam sana jamaa
Nimenroll Postgraduate diploma ya law lakin cjajua nasajiri courses zipi za codes 500+( masters) au hizi za undergraduate..... Nimeeda tawi nikaambiwa nasoma UNIT 9.... liko sawa hili? pia zipi nisajili kwa semester inayooanza april........ Au tuwasiliane 0713047951 nili nipate faida zaidi.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.