Ila waache ulozi.
Juzi kuna mkoa jirani na Dar nilikua huko niliambiwa na wenyeji kuwa Yanga game yao ya hapa dar waliicheza huko.
Yaani game huwa zinachezwa kabla mkuu.
Uchawi upo.
Tume ya uchaguzi haiwezi kuwa chini ya mhimili wa mahakama.
Majukumu ya tume na mahakama ni tofauti kabisa.
Sidhani kama alijiridhisha kwanza kabla ya kuitoa hiyo kauli.
Makala amekua serikalini kwa muda mrefu sana , tumeona utendaji wake hana maajabu yeyote, vile vile Nyakati zimeshamtupa, ataambia nini kizazi hiki cha vijana ambao ndio wengi.
Kama si kulazimisha tu mambo kwa element ya kujuana basi asilimia 80 ya viongozi tuliokuwa nao hawapaswi kuendelea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.