Aliyetokewa na hii kadhia namfahamu kabiaa na na huyo mwanamke pia namfahamu....anapofanya kazi na huyo mwanaume mwenyewe...mwanaume anafanya kazi shirika moja na muimbaji.so baasa ya kuhadithiwa kisa chote basi Juma Kakere akaingia kazini..
Wewe wacha porojo, padri mzinzi Waislaam hatumpi kura. Hilo ni wazi na ukweli.
We kibibi faiza Leo slaa unamwona mzinzi!!ila uzinzi was tezi dune huuusemi?hakuna prezidaa mziznzi kama huyu full vimada.
Na kweli press conference imemcost..maana anajua wazi sheria na maadili ya utumishi wa umma kwenye kupokea gifts sasa akajichanganya na yeye kuita press.
Maana alichofanya ni kama kulegalize kile kitendo chake cha kureceive ipi aonekana yupo sahihi.
Vodacom wanashangaza sana an ukishaunga kifurushi cha wajanja ni shida sana..maana hata ntwk itasumbua na speed ya I ternet inapungua sana kuliko kawaida...sasa sijui ndiyo wanabania speed kwakweli inakera hiki kitu sana.
Mzee huyu yupo haina mjini moshi na alikuwa mwenyekiti was ccm mkoa nadhani..ila baada ya nafasi take kuchukuliwa na MTU mwingi e ndiyo kwa sasa hasikiki sana ila yupo hai.
Labda waliopo moshi huko wanaweza kutupa zaidi yaarifa zake.
Nami kuna habari ambazo pia nilizipata muda mrefu sana kwamba JWTZ watatumika tena hata kwenye zoezi la upigaji was kura za katiba pendekezwa ya ccm maana so ya wananchi. Hi yote ni katika kuleta hofu na kutia jamba jamba watu.
Mimi natumia Viwa X 7..Ni nzuri na haina tatizo lolote...hakuna cha kusema kwamba eti ya kichina..hats huawei,techno pia zinatoka China..simu nzuri na so kusema kila kinachotoka China Ni kibaya..
Ni simu nzuri sana kama umeipenda nunua..haata huawei zilipoingia wapo waliosema maneno kama hayo...
Mambo yameenda kiujanja tu hao wagombea wa ujimbe wa ccm hakuna hata cha mana....huyo mwenyekiti miaka yote akiitisha kikao cha wakazi aliilizwa kuhusu mapato na matimizi anabadilika ranging na mkutano huarishwa...Leo anasema nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.