Search results

  1. L

    Guest house gani morogoro nzuri?

    Longido ni Hoteli nzuri sana. Wahudumu ni wacheshi, na ipo eneo changamfu, pale msamvu, jirani na stendi. Halafu kuna moja inaitwa Kombuna, chumba cha chini ni 14,000/=, kina sefu konteind, brekfast, kebo tivii, na kaa pakingi
  2. L

    Hii course ina soko tanzania kwel??

    nadhani utakuwa kwenye masuala ya masijala katika taasisi mbalimbali. Pia, ingawa sina uhakika, waweza kuajiliwa maktaba ama kwenye makumbusho
  3. L

    Number hii +16025575502737, nikipokea kimya hamna anaeongea, kuna mwenye kujua hizi number niza wap?

    hata nami nimekuwa nikipikea namba fulani inayoanzia+81. Uzuri wake huwa wanapiga kwenye mtandao ambao sijauunganisha na mambo ya kifedha
  4. L

    "KWA WALE WA MZUMBE( mbeya campus) JAMANI MSAADA,,,,,,,,,,,"

    ndugu yangu, hostelli za mzumbe hazijitoshelezi hata kidogo. Kwa makisio yangu zinachukua not more than 30% ya wanafunzi wote wa Mzumbe mbeya campus College. na mwaka huu wa masomo kuna kozi mpya 13 zinaongezwa, nyingi kati ya hizo ni full time courses. Kwa hiyo ndugu yangu ujaribu kuja mapema...
  5. L

    Msaada wa jinsi ya kuunga line ya airtel kwenye internet

    kwa uzoefu wangu mdogo, nowadays huhitaji kujiunga na internet kwa mtindo huo, maana simu nyingi zimeimarishwa teknolojia kwamba ukitaka kujiunga unatuma namba kulingana na kampuni,kisha unanunua bundle vile unataka. Mfano kwa Voda ni *149*01#, na Airtel ni *154*44# (kama sijakosea), ama kwa...
  6. L

    Msaada-fidia ya kupata ugonjwa unaohusiana na kazi

    kama mdau alivyozungumza hapo juu, TB na HIV ni mtu na binamu yake. TB humtokea mtu pale kinga ya mwili inapokuwa imepungua. maana yake ni kuwa katika mazingira yetu haya, wengi wetu tunatembea ama tunaishi na vimelea vya TB, ila kwa kuwa kinga zetu zipo juu, tunafaidika kutopata ugonjwa huu...
  7. L

    Msaada: laptop ina restart gafla nikiwa natumia internet

    mie yangu ilikuwa inahabaneti yenyewe, kisha naipumzisha kama nusu saa hivi, then inapiga mzigo. Kuna mtu akasema maybe ni virusi, trojan ama worms. Nikabadili antivirus toka avast! hadi Panda, ni wiki imepita, sijaona tatizo so far
  8. L

    Tusker sijui serengeti acheni utani....

    jamaa wameniboa sana safari hii. kwanza shindano lenyewe lilikuwa ni kama la wakazi wa Dar pekee. imechukua zaidi ya mwezi vizibo hivyo vya prpmotion kufika.
  9. L

    Tatizo la kuvimba vipele kwanye makalio.

    kweli kaka, hii "NINA RAFIKI YANGU SYNDROME" inasababisha hatamtu achelewe kupata huduma stahili. Kitu cha msingi ni kwenda katika health facility yoyote iliyo karibu
  10. L

    University of Dodoma - Photos !

    nilitembelea pale miaka miwili iliyopita. ninatumaini hatua ya kukijenga itakuwa imefika mbali sana. Hakika ni chuo cha kujivunia Watanzania
  11. L

    Viongozi wa CHADEMA nyie ni vioo vya jamii kwa nini hamtaki kufunga ndoa

    hahahahahaha. nashikuru kwa kumjibu huyo mtoa hoja. Nyani haoni kund*le
  12. L

    Ubora wa degree za UDOM na St Joseph

    mbona hueleweki? panga hoja vyema tuchangie kikamilifu
  13. L

    Tanzania Internet Rates as of May 25, 2011 (Comparison)

    kadiri siku zinavyokwenda, na ushindani unazidi kuwa mkubwa. pia huduma zinazidi kuboreka, ingawa taratibu sana. tatizo lipo kwenye customer care na speed ya internet. mfano customer care ya tiGO ukipiga hadi wakutoze mia moja. wapi na wapi
  14. L

    Mandela atumia haki yake kikatiba

    Babu Mandela ameonesha mfano kwa vijana kuwa kupiga kura hi haki yako kikatiba. kutokwenda kupiga kura kunapunguza haki na wajibu wako kikatiba, na unakuwa umebananga demokrasia. hata kama huna uhakika kama mgombea wako atashinda ama laa, nenda kapige hivyo hivyo. usipopiga utajuaje namna gani...
  15. L

    Hii Nayo Je?

    nadhani ni kweli kuwa unapoenda kuoga, ukipatwa na tatizo, hakuna huduma ya uokoaji. kwa kuwa tunatumia mara kwa mara neno mwokozi kwa Yesu, yaani Saviour, sasa nao wakivyotumia hilo neno hapo ndio imechanganya kidogo
  16. L

    Kweli ukoloni mamboleo umetushika......lo!

    sidhani kama ni vibaya kuvaa jezi hizo za timu ya kizungu. Sio kuwa hatutaki kuzipenda timu zetu za nyumbani, lakini kuna raha gani kuitukuza timu ambayo kila siku inakupa homa kwa migogoro isiyoisha? Ndani ya mwaka mmoja timu inakuwa haijafanya chochote cha maana, zaidi ya uongozi kuvurugana na...
  17. L

    Lahaulaa! Msaada haraka!

    these things happens mara kwa mara. i think suggestion hii ni nzuri
Back
Top Bottom