Acheni ushamba na mueleimike na nyie waandishi ama blogers ndo mnapotosha umma,j na chidi ni stor ndefu. Miaka ya nyuma waliokuwa wakifanya music walifahamika toka chidi anatoka kamasi na boxing zake za Ilala boma kwa ticha kinyogoli..msiropoke tuu Kisa upenzi na mtu flani!Jay akusema vibaya...
Jamani eleweni, kukop kitu cha mtu si vibaya na pia inafanyika saana kwenye saana ama ugunduzi flani ni kawaida,acheni ushamba someni na fikirieni.movie,nyimbo,beats,vitabu story na design ama melody ni kawaida hyo.kutunga na kutungiwa pia hakuna lajabu hapo mnawap promo za buree tuu kwa...
Tembea uwone bro, usijikashifu wamanga ni nouma na wanauza mbaya hyo ost cha mtoto hao unaowaita wamatumbi,karibu kwetu nikupeleke kibao kata ukaona mauno na denda hadharani na vidore hutiana vya mbele na nyuma live kwa ngoma zao.so usijishushe Kaka.kuna sababu kubwa saana ya dini na mitume yote...
Dogo unafanya vizuri, ila ushauri Kuwa unique na mambo yako binafsi na pia rudi shule na elimu ya ziada jinsi star anavyohitajika Kuwa na kuishi. Kazi nzuri.
No matter which colour u ar o religion, what a care z ya ur self n ya.age 23-45 plz very important.halla me at 0713208553 kiddy_adams@hotmail.com and final let's share that place attached here frnd.
Mie nadhani wote hawatutendei haki walipa kodi na wapiga kura wa nchi hii,kumbuka madktari wengi wamesomeshwa kwa kodi zetu cc wanaotusaliti leo hii na pia serikali kutolitazama tatizo hili kwa jicho la 3 na kutoa majibu dhahifu.je kunatofauti gani Kati ya boko haramu na madoktari wakibongo??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.