Issue sio CHADEMA wala UKAWA. Ukweli ni kuwa CCM inatumia Vyombo vya Serikali Kisiasa, na madhara yake ni hayo. Wataipasua hii nchi hao watu. Inaonyesha wazi CCM mwaka huu imepasuka na itatumia the last possible resource kubaki madarakani.
kajisemea Mwapachu Maneja na Kiongozi. Jamaa kazoea Kukariri tu Ma Benzene na Hydrochloric acid. Pale hamna strategist; yaani presidential material
:majani7:
Ubaya zaidi anatumia Maji yanavyobadilika from barafu (Solid) to maji (fluid) to Hewa ya Oxygen na Hydrogen (Gases) hapo change inatakoe (NA WASIWASI SANA NA BACKGROUND YAKE KWENYE SCIENCE I HEARD ALIPATA ZERO FROM SIX). You can't have TRANSFORMATION BILA CHANGES. NA HAO CCM HAWAWEZI KUTULETEA...
Jamni naombeni msaada kuna majina yaliotoka loanboard kuwa hayajawekwa viambatanishi jina langu nipo wameniandikia cheti cha kuzaliwa wakati nilikua affidavity jamani affidavity is inatumika badala ya cheti cha kuzaliwa? Manake mimi sina cheti cha kuzaliwa na nasikia inachukua muda kupata cheti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.