Search results

  1. M

    Hivi vibaraka (traitors) wa mabeberu wapewe adhabu gani?

    Adhabu ya traitor ni kifo. Kushirikiana na beberu kuhujumu maslahi ya nchi ndo uzwazwa. Unazungumzia historia? Kila kosa na adhabu yake na huwezi kujitetea kwa makosa ya wengine. Afu unajiita akili kubwa. Takataka kabisa.
  2. M

    Hivi vibaraka (traitors) wa mabeberu wapewe adhabu gani?

    Nimetagakari sana, suala la baadhi ya wanasiasa kuendelea kuwa vibaraka wa makampuni ya kibeberu yenye nia mbaya ya kuharibu uchumi wetu kwa kutuuzia huduma na bidhaa substandard. Yet mtanzania ndiyo anakuwa wa kwanza kutoa mbinu na miongozo ya kuihujumu nchi yake. Zamani nilikuwa naelezwa na...
  3. M

    Sukari Tsh 4000 watu kimyaaa

    Hiyo bei mkoa gani? Tukusaidie. Be serious
  4. M

    Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

    Huyo Dr. Ni jasusi mzoefu. TISS watu hawaijui vizuri
  5. M

    Magufuli ni binadamu, dalili za kuchoka tayari zipo wazi

    Hangover za uchaguzi hadi unashindwa kufanya analysis bobezi. Ahhhhhhh wewe ndo umechoka lakini jembe ndo kwanza anapasha tu.
  6. M

    An open letter to President Magufuli

    Wanaotoa mawazo mbadala kama haya ndo wanaitwa great thinkers. Wanaojibu hoja hiyo kwa hoja za kuboresha nao ni wajenga nchi. Bila shaka umesikika.
  7. M

    Magufuli ameanza kunichosha kabisa

    Ukawa wameishiwa agenda. Kama ya ufisadi wao ndo wanaufuga na kuutetea. Kama wqsipokuja na agenda timamu chadema itakuwa kama Dp tu.
  8. M

    Baraza jipya la Mawaziri: Tanzania Mpya tuliyoitegemea imeanza kuyeyuka..!

    Mbutura au mbudula? Uchambuzi hafifu usio na facts bali hisia ghafi.
  9. M

    Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

    Watz wanapenda rongo rongo. Hiyo ya majaliwa nimsg tosha kwa wazembe. Bana juu chini watabanana wenyewe.
  10. M

    Rais Magufuli acha kumdhalilisha Kikwete

    Malofwa. Hii kasi inadaidia kuondoa uoza wa siku nyingi. Tujiandae kisaikolojia.
  11. M

    Sakata la Makonda kuwaweka ndani watendaji waliochelewa; Mtizamo wa kisheria

    Kifanya kazi kwa mazoea kusionekane kabisa awamu hiii. Hao maafisa ni wala rushwa tu ndo maana dharau zimewajaaa. Inakuwaje bosi anafika on time na afisa anakuja baada ya masaa mawili kama siyo dharau?
  12. M

    Rais Magufuli: Fedha za hafla ya Bunge zinunue vitanda Muhimbili

    Tusipojenga utaifa siju si nyingi tutasambaratika. Wekeni itikadi pembeni tujenge nchi yenye umoja na amani. Chuki kwa misingi ya vyama vya siasa na ukanda hazisaidiii. Ni kupanua wigo wa chuki na uhadama. Tuache mwelekeo huo.
  13. M

    Ubobezi katika sheria wa Tulia Ackson ni upi?

    Hivi machapisho yote huwa kwa net? Je uwezo wa mtu kitaalum hutokana na machapisho tu? Hao akina Lissu wamechapisha nini kwa international journals? Nadhani umexhukua muda mrefu kufanya utafiti kwa parameters zenye mapungufu.
  14. M

    Wabunge wa muungano waliochaguliwa upande wa Zanzibar nao watahudhuria bungeni?

    Wabunge wa jamhuri kutoka Zanzibar wameshajiandikisha Dom long time na wanadaka mkwanja. Zanzibar eana katiba yao na Tanzania ina katiba yake. Mifumo ya kiutendaji ya NEC na ZEC iko tofauti ila jambo hili halifafanuliwi uzuri sababu lina ajenda ya.kisiasa. faulo ni faulo tu hata kama imeganywa...
  15. M

    Ujumbe mzito wa makamu rais wa Marekani kwa JPM

    Phd unaisikia tu radioni afu unahoji uwezo wa magufuli? Kj sana wewe.
Back
Top Bottom