Hahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa............,Kiukweli wanawake ni wataalamu wa ubinafsi sana na wanataka kumtawala mwanaume pia kujifanya wangu na kujifanya wepesi kila pasipo hitajika. Wanaume wamegawanyika katika sehemu mbili na nimbilituu,wanaotaka kusumbuliwa ndio wapewe na wanao taka...
Jamani tushirikiane,Hivi inakuwaje wanajeshi kama Boko haramu na ISIS,na hata wale wa Tanzania waliotaka kulianzisha wakaogopwa je kwanini wanaitwa MIGAMBO wakati wanauwezo wakutikisa wanajeshi??. Tunao tafuta ajira tuwe makini hapa serekari inasema tuwe wabunifu sasa vikundi kama hivi vinatowa...
Mh!!! mimi huwa naona ni ujinga wa kupitiliza, kupima ni haki ya kila mtu!!tena ilitakiwa tuwe na vipimo au mahali maalumu kwenda kupima buree kila miezi mitatu. Nilishangaa nilikwenda hospitali moja binafsi hapa mitaa ya ilala wakaniambia kupima ukimwi ni Elfu 10!!!!!!!!!........
Kiukweli hakuna ambae hatamani kuwa na mtoto kama huyo,watoto wakike huwa na uwezo kuzidi wa kiume ila sasa sijui uwezo ule huwa unapotelea wapi.
Lakini mtoto kama huyu akitokea Tanzania utakuta Ma Prof. wakitanzania wanaanza kumkosoa sanaa pale anapowashinda badala ya kumpa uwezekano wa...
Pole sana kijana japo umechelewa lakini sikulaumu sana,Hata mimi nisha wahi kubanwa kama wewe lakini nilibahatika kumpata Dingi nikiwa na Umri wa miaka 23.Kwa kukushauri wala usiende hata kenya tulia hapo hapo MUNDULU hope ulimaanisha MONDULI,kwani lazima kunawatu waliowahi fanya kazi nae na pia...
Polesana kijana japo umenichekesha sanaaa lakini jambo kama hili kwamfano nikifahamu umri wako pia huwa ni rahisi kukushauri.
kuna vijarida vingi sana na watu wengi sana wamekuwa wakijiuliza mwaswali kama ya kwako watuwalio bobea katika psychology walitowa majibu yafyuatayo,Ndoto mara nyingi...
Pole sana dada yaani kila siku watu wanaowa na wasichana kawa wewe wanatakakuolewa siombaya,lakini iweje huyo mh!! miezi sita na miwili eti bado unambania!!!!!kiukweli kama unapesa zako toa nauli muende kwao mapema bila hivyo utamkosa,na ukifika kwaohuko ndio umpe mautamu amasivyo ataibiwa,ila...
Naamini kuwa if you can break it means you can make it and if you cant make it then dont break it except if your dont want it or your the craziest ever .
Yaani watu mnapo ingiza mambo ya imani katika swala la Ukweli kama la ajira inaudhi sana.Kwa sababu mnakuwa mnamaanisha kuwa mtu akisali na kukosa kazi ambayo ana meet all requirements amlaumu MUNGU.Hebukuweni na imani za kweli na endelezeni ukweli wa mambo kwani mnakuwa mnapotosha sana...
weka sasa recent pictures ili afahamu kuwa ukweli wako ni upi,kuliko kuficha,ila wewe ni mrembo tu hata mm ningekukuta sura ya kitabu mbona nisinge juiliza!!!!!
Tatizo hujawa muwazi,kwanza swala la muhimi ni wewe unatarajia nini??maana kama umeongea nae siku zote kuna mambo unatarajia.Unaweza kuwa unatarajia ni mrefu kumbe mfupi ni mfupi kumbe mrefu,ni mweupe kumbe kweusi maana picha nazo simchezo.Sasa kwaza matarajio yako kisha ushauri wangu.Au...
Haya mambo ndiowanayafanya yaendelee,nilikuwa cjakumpa moja ya mikasa yanga hapo ajira zao za serikarini,waliniuliza maswali pannel nzima ilikuwa na watu sita eti ma professor kuonyesha tu kuwa hatukupi akaniambia"It is very difficult for me because you have knowledge and Skills but you dont...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.