sio kwahiari kaka ndio maana ya kusema neno kusingiziwa maana yake hukujuwa ukweli, ni mke umemuoa halaf mkazaa mtoto then imetokea hivyo sasa unafanyaje?
hivi kama ikitokea ukisingiziwa mtoto na mwanamke halafu ukamlea, kumsomesha na kumpa kila kitu kwa kujua huyu ni mwanao, ikaja siku mtoto amekuwa yuko chuo kikuu anajitokeza mtu ambae ni baba ake biological (kwa ushahidi wa DNA) na anamtaka mwanae...je hamna sheria yoyote inayokulinda wewe...
hivi kama ikitokea ukisingiziwa mtoto na mwanamke halafu ukamlea, kumsomesha na kumpa kila kitu kwa kujua huyu ni mwanao, ikaja siku mtoto amekuwa yuko chuo kikuu anajitokeza mtu ambae ni baba ake biological (kwa ushahidi wa DNA) na anamtaka mwanae...je hamna sheria yoyote inayokulinda wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.