Hapa naomba ushauri.
Mimi ni mwanamke mjasiriamali. Shughuli yangu ni kununua ndoo za mafuta zilizoisha na kubadilishana na kuku wa kienyeji mpakani mwa Tanzania na Msumbiji na Msumbiji kwenyewe hasa vijijini na mashambani.
Huwa natumia pikipiki san heroji. Sevis ya pikipiki na mafuta mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.