Search results

  1. C

    Nahitaji Msaada Wenu!

    Asante sana!nawashukuru sana!ila tatizo mie nipo Iringa,asa hiyo hospitali ya wasabato sijui ka ipo huku Iringa.
  2. C

    Nahitaji Msaada Wenu!

    Nashukuru sana kwa maelekezo yako!kwahiyo una maanisha hii hali niliyonayo ni malaria sugu?
  3. C

    Nahitaji Msaada Wenu!

    Nilitumia dawa za Malaria aina ya Co-Malafin,nilitumia siku tatu,baada ya hapo,siwezi kukaa juani au sehemu yoyote ile yenye joto!yaani Mwili unachomachoma mpaka vinatokea vipele na vinauma sana,sasa inabidi nitafute baridi au maji nijipakepake au kivuli,nikishafanya hivyo mwili unarudi ktk hali...
Back
Top Bottom