Kwa uliyoyaeleza ni dalili tosha za kujua kuwa huyo binti anaumwa ugonjwa wa Major Depressive Disorder (MDD) ambazo dalili zake ni kukosa interest ya vitu alivyokuwa akivifanya zamani, kukosa hamu ya chakula , feeling sad , loss of weight , desperate, feeling worthless and guilty on small...
Hey niko na galaxy tab, almost new with leather cover , wireless bluetooth keyboard, car charger adaptor etc. inbox me if ur interested. Its time to tab
Ni taarifa ya ukweli kabisa kwani waliozisajiri kwa biashara mikoani wameambiwa baada ya leseni kuisha hawataweza kuzisajili tena. Maana yake kila aliyesajiri mda ukiidha na biashara kwishney!
Ahsante kwa kuliona hilo. Binadamu hatukosi neno hata kama ungemfanyia nini bado tu angekulaumu. Kwanza wafiwa ndio walitakiwa kulipia ile coverage, ijuavyo. Tv zinafaidika sana na matangazo sasa siku ile kulikuwa Na matangazo gani?
Its tools down. We dont need to attend even emergencies. Sababu tuna serikali yenye kiburi basi tuonane nani aliyeshika mpini nanani aliyeshika makali.
Aluta Continua, solidarity forever
Yeah hiyo ndiyo hal i halisi hapa. Leo tumeamua kufunga kabisa hata emergency zote. Sasa majeruhi wakipokelewa wapelekwe wapi? Wakati MOI hakina kazi?
Wahudumu Wa afya nao wameingia kwenye mgomo sasa hapo ni mpaka kieleweke.
Kama hiyo serikali yako inaweza kutoa laki mbili kwa mtu anayesinzia masaa 6 ,je si bora sana akapewa huyu anayetibu afya zetu walau hata elfu hamsini anapokuwa zamu ya masaa 36?
Laiti ungekuwa umetembea walau hata kujionea madaktari nchi za watu wanavyolipwa nadhani usingekuwa unaongea hizo pumba zako. Nenda tu hata hapo kenya uone dr. analipwa kiasi gani. Mbona tz drs ni wataratibu sana ? Nakwenda kumhudumia mgonjwa wako kwa zaidi di yake masaa 24~36 nalipwa elfu kumi...
Acha kulalamika wewe dada bila ya kuelewa. Kwanza inaonekana wewe bado ni mdogo au hujaugua na kuonwa na daktari.
KwaUfupi ni kwamba ninapomwona mgonjwa kwanza nitachukua case history ambayo inatoka kwa mgonjwa mwenyewe na baada ya hapo kinachofuata ni kufanyiwa uchunguzi we call physical...
Hakuna serikali itakayo wafuata? Je cha leo kilichotokea ni kipi? Amekuja waziri wao afya na timu yake bado tumemtimua na kumwomba aje waziri mkuu maana hatuna imani nao tena kwani tumewafata sana ila kwa viburi vyao vya kujiona miungu watu ndio wametufikisha huku tulipo. Wauguzi nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.