Sina shida na lowassa kwa hilo , wanajeshi wenyewe wanalipwa pesa za bure kabisa hawana lolote wanalolifanya ,Vita hakuna kazi ni kunywa piwa, kuvuta bangi, na wanawake na kupiga wananchi pasipo sababu za msingi jana tumezika kijana aliye uliwa na wanajeshi kwa madai ya kuibiwa tv,deki na...
Hoja ya Chadema kwamba ni chama cha kidini sio ukweli kabisa , tena hii propaganda magamba wanaitumia sana kudhoofisha chama , ukweli ni kwamba chadema inapendwa na wananchi wengi wa dini mbalimbali na rika mbalimbali basi CCM na yenyewe ya waislamu, mimi pia muislamu ila naipenda chadema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.