Hem huyo jamaa afanye review ya waziri mkuu bungeni, alisema " Tume jaribu kufuata mkondo wa sheria,ila tunaona tumeshindwa, na inatulazimu tufanye jambo fulani, come what may" Sasa yeye hadhani jambo lolote nje ya ssheria ambalo serikali ingeweza kufanya ni kitu kama hicho? lets be realistic...
Naomba mnisaidie jamani, nina ugonjwa wa ngozi mwaka na nusu, kila nikienda hospital wananipa dawa ambazo nikimaliza kutumia baada ya mda kidogo ugonjwa unarudi tena na tena, sijui nifanye nini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.