Siyo Voda tu hata TIGOPESA nao ni kimeo, Wahudumu wao wanakupa matumaini kuwa pesa yako itafika ulikotuma baada ya muda mfupi kumbe ni kukufurahisha tu. Hasa ukituma pesa siku za weekend ni bomu kabisa.
Wakuu, mimi ni Mstaafu Mtarajiwa, Natafuta incubator yenye uwezo wa kutoa vifaranga wa kuku na bata kati 500- 1000 kwa mara moja. Ni mradi ambao unaweza kujiajiri mwenyewe na ukaweza kuishi bila kutegemea ppf au NSSF.
Huyu RA asiwadangaye watanzania. Huyu ni Muiran kabisa , Babu zake walikuja Tabora kufanya biashara tu. Asijidai ana uzalendo wakati tunajua mguu mmoja hapa mwinyine uko dubai. Anaikoroga nchi huyu.
Jamani Huyu Mchungaji feki ni yuleyule aliekuwa anamnyoshea RA vidole kumbe kahongwa Shs milioni 3 au zaidi. Sasa kaambiwa asizirejeshe ila atafute namna ya kukichafua chadema pamoja na watu fulani fulani ambao wanachonga saana kuhusu RA.
Matapeli wa siasa hiyo ndio dawa yao. Wanafikiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.