Kanunue septilin chukua kidonge kimoja loweka kwenye maji kikilainika paka usoni subiri ikauke chukua kitambaa kikavu futa usioshe na maji kisha lala...my dia utakuja kunishukuru...fanya kwa siku kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mangi kanifurahisha sana jamani yan alivyopata ushindi wa mezani akasahau mechi tatu alizokimbia...vi status sasa hahahhaaa eti kiboko ya anny.
KLM nimempenda bure...aggy anauvumilivu jamani duh.lakini ametufundisha mvumilivu ula mbivu.
Yan natamani nije nikusaidie tumfanyie kitu mbaya.....mi nikikutana nao hata kama ni miaka 20 badae lazima niwafanyie kitu mbaya coz walinitesa sana aisee.
Mie nilivyokuwa olevel ilitokea bifu za hvyo na boys huwa na hacra nao sana na huwa natamani niwafanyie kitu mbaya though ni miaka mingi sana imepita.....nimekuelewa sana lala 1 hyo kitu inauma sana so ww mfanyie tu mbaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.