Hakuna kitu cha hatari kama kutembea na mke wa mtu, its very bad and painful ndo maana mwenye mke akikufuma anakata shingo na polisi hakuna kesi . Look verry.
Inasikitisha kusikia tayari wakuu wa wilaya ambao ni mkada wa chama cha mapinduzi tayari wameshaanza kuichakachua mpango wa ukusanyaji wa maombi ya katiba mpya.
Wanawapanga watu wa kuongea na vitu vya kusema huku wakiwaelekeza wenyeviti wa kata kuwapointi kila wanaponyosha vidole na kuwaacha...
masikio yao hayasikii, macho yao hayaoni, akili zao hazitambui na mioyo yao haina huruma wala utu tena na wkiona watakutafuta kwamba unahatarisha amani ya taifa.
hiyo ndiyo shida ya watu kushindwa kusimamia dhamira zao na kutumikia dhamira za watu wengine hata kama imani zao haziwaruhusu. Some times inawezekana nao wameshaanza kuwatumikia mafisadi.
Hakika kama wewe ni mgeni wa mambo ya bunge letu utapata shida kuelewa mambo mengi. Kabla ya kuanza na hilo la Mnyika ni vyema ukajiuliza ushahidi wa lema juu ya waziri mkuu uko wapi na ule wa magdalena sakaya dhihidi ya unyanyasaji wa wakuu wa wilaya alio ombwa na mkuchika. ukipata majibu then...
MUNGU ndiye idara ya usalama inayoaminika wala Jack Zoka asihangaika kujificha wakati anatekeleza mikakati yake ya kuliangamiza taifa la tanzania kwa sasbabu Mungu atazidi kumuanika machoni petu. Zoka ajue hawezi kua wateule wa Mungu hata siku moja.
Leo hii nimehitimu mafunzo yangu ya shahada ya kwanza hakika nina nafasi ya kuwa mkurugenzi ikiwa hawa watu wasiokuwa na sifa wataondolewa wote. taifa linaloamini katika giza linafanya vitu kigizagiza pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.