Solution ya ajali hizi ni kutenganisha barabara angalau ziwe one way katikati kujungwe msingi unaotenganisha upande mmoja na mwingine. Hii itasaidia kupunguza kugongana uso kwa uso( head on collision) ambayo ni hatari sana na inaua watu wengi
Unatuma posts nzuri sana. Ushauri wangu baadhi ya majina ya vitu unavyopika jaribu kutumia lugha rahisi iliozoeleka kwa wabongo mfano buns ni skonzi, shrimp ni prons,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.