Wasalaam Wakuu
Kama kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni mjasiriamali natamani kuwekeza kwenye mradi wa kupasua mawe na kutoa derivatives i.e. kokoto, chipping na mchanga ulio katika powder / vumbi.
Hivyo nauliza kwa unyenyekevu suppliers wa hizi machines / plants from China na Europe na uwezo...
Braza Kaka Maisha Yana Siri Sana. Usilolijua Litakusumbua. Wapo watu hapo kkoo hata kuandika kiswahili kwa ufasaha hawawezi ila wana hela mpaka wanatapika.
Shida wasomi wanatafuta hela kwa akili za darasani. Its a whole different game mtaani. Kingine swala kuacha ajira uje mtaani ukae siku...
VACANCIES AVAILABLE
Hotel Location
Dar es Salaam, City Center [Posta]
1. HOTEL MANAGER
2. HOTEL SUPERVISOR
3. HOTEL MARKETING MANAGER
4. HOTEL RECEPTIONIST (3 Posts)
5. HOTEL CHEF (3 Posts)
QUALIFICATIONS
1. Fluent in English & Swahili (Additional Languages Could Be An Advantage)
2...
Unakutana na dem hata halina challenge ya maisha, biashara au mbinu za mapambano. Mimi baba yangu mzazi alikutana na mama yangu kwenye mishe za kutafuta maisha….mzee akanichana live mama yako mpambanaji haswa kwa jasho na damu hela ametafuta….na hii inapelekea hata men kuheshimu mwanamke wa hivi...
Mleta mada uko sahihi sana i feel what u say big tym, hayo maviumbe ni maj!n! mufilisi. Hela ninayo na sioni taabu kutoa ila sitoi na sitatoa hela kwa mwanamke ambae hana chembe ya huruma, utu na ubinadamu. I observe too well i know.
Sina tatzo na kuomba hela ila kuna vitu mwenyewe na vi expect...
Kama Huna Any Support System (Back Up Ya Ajira, Asset Yako Iwe Ya Kurithi au Yako Mwenyewe Inayokuingizia Hela, Back up ya kazi / biashara za wazazi)
Fanya Yafuatayo Regardless Umesoma Au La
1. Swallow ur pride usijione kama wewe ni wa kufanya kazi za aina flan (za kisomi) pekee.
2. Nunua...
Wanawake kama nyie huwa mnafanya mwanaume kama chuma ulete. Fanya kazi add value kwa mwenzako (ili maisha yenu yaende, cz its a collaboration and life partnership and support dem akiwa hivi hata sioni noma akila hela yangu cz kuna kitu anachangia kwenye returns not otherwise)
Otherwise tunakula...
Mi mpaka dem ale hela zangu ni kwamba nimeshamtibua haswaa.
One thing hawa wanawake watu hawajui tu ni kwenda nao taratibu usijifanye mbabe / mjuaji wapo raia wanakuchora tu na wanakula bure hata tukitoa hela ni ya kawaida sanaa ila unakuta wengine wanapasuka hela kibao + kulia lia huko
Sina...
Tumsifu / Asifiwe
Its The Same Thing. Tofauti Ipo Wap Hapo ??
Salam Ya Wakristo Nyingine Ni Kutamkiana Neno “ Shallom “ from Hebrew Origin Meaning Peace….maneno ambayo hata majirani zetu hutamkiana hivyo ila kwa Arabic.
Mambo mengine ni kuelewa zaidi na sio kukariri.
KAKA NIPE MKONO.
UMEMALIZA BINGWA !!
NIME ANDIKA KWA CAPITAL LETTERS KUKUBALIANA NA ULICHOSEMA KWA MIKONO NA MIGUU YOTE.
YANI UKO SAHIHI MNOO KUPITILIZA
VIJANA BLUEPRINT HII HAPA, WAKUONA NA KUSIKIA WASOME HAPA NA WAELEWE [emoji817][emoji817]
Kwa My Scenario na Kwa Mazingira Yangu Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.