Wewe dogo changia hoja acha mitusi ya rejareja. Waungwana wanajadili na kupinga au kukubali hoja. Arfi aliwahi kusema kati ya sheria za hovyo kuwahi kutungwa duniani ni sheria ya mabadiliko ya katiba. Je, ni sahihi kimantiki sheria hiyo kuipa idhini tume kuhodhi maoni ya wananchi na kuchagua...
Jaji Warioba amenukuliwa leo na gazeti la Raia Tanzania akisema kitakachopendekezwa na Bunge la Katiba Dodoma ni Katiba ya watawala na si Katiba ya wananchi, anatoa mifano juu ya kinachoendelea yaani Sitta anakusanya maoni ya vikundi vya kiutawala kama ALAT.
Je, yuko sahihi? Wananchi...
Mkuu, kwa sababu rasilimali zako hukuzibainisha lakini inafahamika wazi rasilimali binafsi ni pamoja na sehemu zako nyeti (za siri) je, uko tayari kuzipoteza? Ukipoteza hizo basi, jamaa yako huyo tunaweza angalau kumfikiria huku tukijiuliza anaweza kukagua gwaride kwa speed inayotakiwa kama...
RAIS Jakaya Kikwete ameivunja rasmi Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika hatua ambayo imewashutukiza wajumbe wa Tume hiyo, imefahamika.
Taarifa ya kuvunjwa kwa Tume hiyo, maarufu sasa kama Tume ya Warioba, iliyokuwa chini ya uenyekiti wa Jaji Joseph Warioba, ilisambazwa jana Jumatano na Ikulu...
Tusiwe na fikra nyepesi kwa kumtazama Wenje tu, hii ni ajenda ya Reginald Mengi kuvuruga Serikali ili angalau Rais amsikilize au ajibu sms zake kama zamani maana ametelekezwa kipindi kirefu sasa kwa vigezo muhimu vinavyolinda maslahi ya nchi na si Mengi na wapambe wake, makuwadi wa soko huria.
Eti viongozi wa Chadema hawakutoa matamko wewe nawe ni muongo usiye n kumbukumbu. Hivi Mnyika alipokutana na waandishi hakutoa tamko? Mbowe aliposema walioua ni polisi waliotumwa na CCM sio tamko? Ni slaa pekee anaogopa kutoa tamko kwa sababu kauli yake kwamba nchi haitatawalika inaendelea...
Wewe kweli akili zako ndogo kama Mbowe, wakati mnataka Rais aunde tume ya kijaji mlikuwa mnamuamini au la? Wakati mnapewa kashata na chai ikulu kuzungumzia sheria ya mabadiliko ya katiba mlikuwa hamuamini Rais? Kwa nini sasa, au kwa sababu Mbowe kaongea pumba Hana ushahidi wowote? Watanzania...
Nipo Arusha, kuna taarifa zimezagaa mtaani huku Kijenge na Mwanama kwamba polisi anayetajwa na Mbowe ndiye aliyeua katika mkutano we Chadema Soweto Jumamosi, ni mtu aliyevalishwa nguo za polisi kimkakati ili kuchafua Jeshi la Polisi. Je hili limekaaje au ni propaganda tu za kisiasa?
Haya maelezo yameandikwa na ama mchochezi anayeitwa Godbless Lema au mtu mwingine wa Chadema mwenye akili ndogo Kama Lema, mi nadhani huu ni mpango wa Chadema kupata huruma ya public lakini tatizo ni mpango mbovu unaokiua chama chao taratibu. Hapa pia LwakatAre tayari yupo nje kwa dhamana.
Star tv wanafki, wao pamoja na kile kinachoitwa MOATwalijidai mwanzo kutetea haki ya kupata habari wakisema ving'amuzi vya star times havifai, havionyeshi vizuri na hivyo irudi analogy kisa haki ya kupata habari Leo wanajitoa wakitanguliza maslahi yao kibiashara na si tena haki ya wananchi...
Acheni kuleta hoja nyepesi humu, mnajua kwamba China na Tanzania kwa sasa zimeanza mipango ya kistrategia kijeshi bali na mipango mingine ya uchumi. Kwa hiyo sioni tatizo Shimbo kwenda kwa sababu pia uteuzi wa Balozi nchi mwenyeji ni lazima pia Ifanye vetting na kwa hiyo, kama Shimbo ni...
Mkuu wewe kweli ndiye Kigogo wa fitina, umemjadili BM katika njia za kifitina tena kwa kuazima fitina wanazotumia kundi la Lowassa hasa raia mmoja mwenye asili ya Somalia (Bashe) halafu unasahau hiki ulichofanya ndiyo fitina, majungu na unafiki.
Kitime kifichomponza ni ufisadi wake...
kuna watu kumbukumbu zenu ndogo sana japo mnajidai great thinkers, niwakumbushe hatua chache tu za Kikwete kujenga muafaka wa ndani nchini, kwanza kutuelewa kwa vitendo ahadi iliyokuwamo katika hotuba yake ya kwanza ya kuzindua Bunge 2005 kwamba anasikitishwa na mgogoro wa kisiasa Zanzibar...
Nadhani wewe ni kimeo pia, siasa za kimataifa zina mipango na misimamo yake, utakumbuka wakati Tanzania inasaidia Ukombozi nchi za kusini mwa Afrika haikuwa na maana kwamba uchumi wetu ulikuwa imara kiasi cha kutoa misaada. Mwalimu Nyerere aliifanya Tanzania kuwa nchi strategic kusini mwa Afrika...
Nimekuwepo leo jioni kwenye live band pale Rayol Village mjini Dodoma ambapo baada ya burudani kadhaa aliitwa Bwana Nape kupiga nyimbo mbili alipopanda jukwaani akashika gitaa la rithym alipolipiga kidogo akasema atapiga nyimbo mbili moja kwa ajili ya " dadaake Phillipe mbunge viti maalum...
Mleta uzi si wa kumuanini kutokana na habari kwa sababu ni kutoka Chadema na pia chanzo cha habari ni cha upande mmoja, yaani wakili wa Chadema. Kwanini tusiamini mnataka kutengeneza mazingira ya kuaminisha umma kile mnachokitaka.Acheni michezo hii ya kizamani iliyokuwa ikifanywa na CCM. Wewe...
Waliomfuatilia wanajulikana na sababu zinajulikana. Amezaa na mke wa mtu mkuu, kwa hiyo ni lazima ashughulikiwe. Sio kila kitu eti TISS wakati mitaani mnabeba wake za watu.
Nape leo kacharuka kwenye msafara wa CCM uliokuwa ukiongozwa na Kinana na kuwatimua kwenye msafara huo watendaji wakuu wa Mtibwa sugar kwa madai kuwa uwepo wao kwa jinsi wanvyoishi na wakulima wa miwa mtibwa wanachafua sura ya ziara hiyo.
Nao jamaa kwa mshangao huku vichwa vikiwa chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.