Wanajamvi,
Wiki moja iliyopita nilimsikia kwa masikio yangu POLEPOLE kwenye kipindi cha KIPIMA JOTO - ITV akisema kuwa leo kungekuwa na mdahalo. Lakini nimeulizia ulizia leo na kusikiliza redioni cjasikia kabisa. Mwenye taarifa nzuri anijuze tafadhali
ww nae wala huelewi, kubanana ni kawaida kiofisi, na ndo maana hata dc angeweza kutumia utaratibu huo, lakini sio kuita wa2mish wa serkali kwenye vikao vya chama. kwanini hawakwenda? jibu ni kuwa wanajua. hao sio mawazi wanaotetea ulaji wao kwa chama, hao ni wataalam bana.
mimi nafikiri kuendelea kuukumbatia muungano ni sawa na kukumbatia mzinga wa nyuki. Hapa majuzi nilikuwa naongea na wazanzibar wawili, kwanza walitubeza sana wabara kuwa hatujui siasa ndo maana tunashadadia muungano, na walinipa mlolongo wa mambo kibao, ambao wao wanaamini serikali ya muungano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.